17
Mchungaji awatimua waumini wenye digrii Kanisani
Mchungaji wa Kanisa la Neno nchini Kenya, James Ng’ang’a amewaacha watu wengi midomo wazi baada ya kutoa onyo kwa waumini wake waliohitimu shahada ya kwanza kuwa w...
17
Adanganya kupata mshituko wa moyo, Akikwepa kulipa bili
Mwanamume mmoja kutoka nchini Spain ambaye hajatambulika jina lake ameshikiliwa na polisi baada ya kudaiwa kudanganya kupatwa na mshituko wa moyo katika migahawa 20 ili kukwep...
17
Mashabiki wauawa, Mechi yaahirishwa
Mchezo wa kufuzu #Euro2024 kati ya wenyeji Ubelgiji na Sweden umeshindwa kuendelea kipindi cha pili baada ya mashabiki wawili wa #Sweden kushambuliwa kwa risasi na kuuawa kati...
17
P Diddy alimpigia simu kaka yake Tupac, Kukanusha uvumi
Mopreme ambaye ni kaka wa marehemu Tupac, ameweka wazi kuwa mwanamuziki P Diddy aliwahi kumpigia simu na kumueleza kuwa hakuhusika na kifo cha Tupac, licha ya baadhi ya wasani...
16
Yafahamu mashindano ya wanaume kubeba wake zao, Zawadi bia
Inafahamika kuwa ulimwenguni kumekuwa na mashindano ya aina nyingi ambayo hufanyika kwa lengo la kuburudisha washindani na watazamaji. Wakati baadhi ya watu wakiwa wanaupenda ...
16
Ancelotti: Bado nipo Real Madrid
‘Kocha’ wa  ‘klabu’ ya #RealMadrid, Carlo Ancelotti amekanusha taarifa za yeye kwenda kuitumikia ‘timu’ ya Taifa ya Brazil msimu ujao....
16
Walinzi kuongezwa uwanjani kuzuia fujo za mashabiki
Uongozi wa ‘klabu’ ya  #ManchesterUnited unatarajia kuongeza ulinzi katika mchezo ujao dhidi ya #Copenhagen katika ‘ligi’ ya mabingwa ulaya kwenye...
16
Wachezaji wa Taifa stars baada ya ‘mechi’ ibada
Baadhi ya wachezaji na sehemu ya benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania #TaifaStars, walienda kufanya ibada ya Umrah katika msikiti mtukufu wa Makkah ambao upo nchini S...
16
Daktari ashitakiwa, Unyanyasaji wa kingono kwa wagonjwa waliozimia
Dk. Louis Kwong, ambaye alikuwa Mkuu wa Idara ya Mifupa katika Kituo cha Matibabu cha Harbour-UCLA Torrance, California, ameshitakiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia, tabia ya uba...
16
Penzi la Justin Bieber na Hailey bado lina nguvu
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Justin Bieber amethibitisha kuwa mapenzi yake na Hailey hayajafa, huku akiamua kujitoa kumsaidia mpenzi wake katika kazi zake za sanaa. Kwa ...
16
Atishia kufyatua risasi baada ya kuuziwa chipsi zilizoungua
Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani aitwaye Breneida Gottschalk ameshitakiwa kwa kosa la kutishia kufyatua risasi baada ya kuuziwa chips zilizoungua. Mwanamke huyo mwenye um...
16
Denis: Drake hawezi kutolea maoni vita ya Israel na Palestina
Dennis Graham ambaye ni baba wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani Drake, ameendelea kumkingia kifua mwanaye na kudai kuwa hawezi kuingilia wala kutoa maoni yoyote juu ya vita...
15
Kanye West apitia wakati mgumu kutoa albamu yake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Kanye West anadaiwa kupata tabu katika harakati zake za kuachia ‘albamu’ yake mpya baada ya ‘lebo’ za muziki nchini ...
15
Muandaaji wa Miss Rwanda ahukumiwa, Kwa unyanyasaji wa kingono
Muandaaji wa miss Rwanda Dieudonne Ishimwe maarufu kama Prince Kid amefungwa miaka 5 kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono kwa mabinti wanaoshiriki mashindano hayo. Hatua hiyo ...

Latest Post