Ngoma 28 zilizomkosha Obama 2023

Ngoma 28 zilizomkosha Obama 2023

Ikiwa zimepita siku mbili tangu aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kuachi orodha ya filamu zilizomkosha kwa mwaka 2023, sasa ameshusha mkeka mwingine wa ngoma anazozikubali kwa mwaka huu.

Obama kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-post list hiyo na kuandika kuwa ndiyo nyimbo alizokuwa akipenda kuziskiliza kwa mwaka 2023.


Katika list hiyo wanamuziki kutoka Afrika wameonekana kumkosha zaidi kutokana na ngoma zao kama vile ‘Water’ ya Tyla, ‘Unavailable’ ya Davido, ‘Me & U’ ya Tems, ‘Sittin on top of the world’ kutoka kwa Burna Boy aliyomshirikisha 21 Savage, ‘Amapiano’ Asake & Olamide na nyinginezo.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post