Kanye azindua viatu, bila laki tano huvivai

Kanye azindua viatu, bila laki tano huvivai

‘Rapa’ na mfanyabiashara kutoka nchini Marekani Kanye West ametangaza kuachia rasmi viatu vyake alivyovipa jila la ‘Yeezy pods’ vyenye thamani ya dola 200 ambayo ni zaidi ya Laki tano za Kitanzania.

#YeezyPods ni aina ya viatu ambavyo muundo wake upo kama soksi huku urefu wake ukifikia magotini na kwa sasa viatu hivyo vinapatikana kwa oda kupitia tovuti ya #Ye.

Viatu hivyo vitakuwa ni toleo la kwanza kwa #KanyeWest tangu kuvunja mkataba na kampuni ya #Adidas miezi kadhaa iliyopita.
.
.
#mwananchiscoop
#burudikanasi






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post