12
Tory Lanez hayupo kwenye gereza la peke yake
Baada ya kuzuka kwa taarifa kuwa ‘Rapa’ kutoka nchini marekani Tory Lanez kuwa amefungwa katika ‘selo’ ya peke yake kutokana na umaarufu wake, taarifa ...
12
Alisha adai kutaka kununuliwa kimapenzi na mchezaji mkubwa wa ‘soka’
Mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake Alisha Lehmann ambaye anakipiga kupitia ‘klabu’ ya Aston Villa, kupitia mahojia...
12
Keefe D adai alilipwa na P Diddy amuue Tupac
Mshukiwa wa mauaji ya ‘rapa’ Tupac, Keffe D” Davis, amewashangaza wengi baada ya kufunguka kueleza kuwa yeye ndiyo aliyemuua Tupac lakini ameweka wazi kuwa a...
12
Marioo na Mr Nice wana jambo lao
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Mr Nice ameamua kurudi mjini kivingine baada ya kutangaza ujio wa wimbo mpya ambao ameshirikishwa na Marioo walioupa jina la ‘Shisha&rs...
12
Maguire atishia kuondoka Man United
‘Beki’ wa kati wa #ManchesterUnited, #HarryMaguire amedai kuwa kama ataendelea kupata nafasi ndogo ya kucheza chini ya ‘Kocha’ Erik ten Hag basi atafik...
12
Davido awapa onyo wanaosambaza picha zake za zamani
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, Davido kupitia mtandao wake X amewapa onyo wanaosambaza picha zake za zamani mtandaoni zikimuonesha akiwa na mkewe hospitali. Picha hizo zi...
12
B2k afunguka kuuza nyanya
Mwanamuziki wa #BongoFleva, B2k Mnyama ameeleza kuwa biashara yake ya nyanya ambayo alikuwa anaifanya awali kabla ya kungia kwenye muziki kwa sasa haina nafasi. B2k ameeleza k...
12
Kim Kardashian aguswa na vita ya iIrael na Palestina
Baadhi ya ma-star kutoka nchini Marekani wameonekana kuguswa na vita inayoendelea kati ya Israel na Palestina huku baadhi yao wakiungua mkono nchi ya Israel, huku  kwa up...
11
Wimbo wa Tyla waiinua S.Africa Billboard Hot 100
Wimbo maarufu wa Water wa mwimbaji kutoka South Afrika, Tyla umeanza kuonekana kwenye Billboard Hot 100, baada ya ku-trend kwa wiki kadhaa kupitia mtandao wa TikTok. ‘Wa...
11
Toure atamani kuona ‘makocha’ weusi Ulaya
Kiungo wa zamani wa ‘klabu’ za Manchester City na Barcelona, Yaya Toure atamani kuona ongezeko la ‘makocha’ weusi Ulaya. Akizungumza na BBC, Toure ames...
11
Jada Smith afichua kutengana na Will kwa miaka saba sasa
Muigizaji na mtangazaji kutoka nchini Marekani Jada Smith ameweka wazi kuwa yeye na mume wake Will Smith ambaye pia ni muigizaji walitengana kwa siri miaka 7 iliyopita huku ak...
11
21 Savage kufanya tamsha nchi aliyozaliwa
‘Rapa’ 21 Savage ametangaza kufanya tamasha lake la kwanza katika nchi aliyozaliwa ambapo onesho hilo linatarajiwa kufanyika katika uwanja maarufu wa O2 nchini Lon...
11
Rema atimiza ndoto yake ampata Ice Spice
Baada ya mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Rema kueleza ndoto yake ya kuendelea kufanya ‘kolabo’ na ma-star mbalimbali kutoka Marekani, hatimaye ndoto yake ya kwa...
11
Mashabiki wataka kufahamu hali ya mwanasoka Merritt
Mashabiki wa South Sydney nchini Australia wavunja ukimya wao kwa kutaka kujua kuhusu hali ya mwanasoka  Nathan Merritt anayepigania maisha yake hospitalini baada ya kuto...

Latest Post