08
Kevin Gates amtemea mate shabiki mwenye ujauzito
Mwanamuziki kutoka Marekani Kevin Gates ameshika vichwa vingi vya habari baada ya kamera kumnasa akimtemea mate shabiki mmoja mwenye ujauzito ambae alihudhuria kwenye show yak...
08
Chris Brown : Watoto wangu ni wathamani sana
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Chris Brown kupitia ukurasa wake wa instagram ameonyesha hisia zake kwa watoto wake baada ya ku-share ‘picha’ akiwa na wa...
07
Wema Sepetu: Kufa sifi lakini chamoto nakiona
Kupitia ukurasa rasmi wa Snapchat, wa The Tanzanian Sweetheart Wema Sepetu ame-share ujumbe ambao umewashitua mashabiki wengi na kuwafanya waulizane kipi kimemkuta mrembo huyo...
07
Neymar na Bruna wapata mtoto
Mchezaji kutoka ‘klabu’ ya Al Hilal ya nchini Saudi Arabia Neymar Jr, na mpenzi wake Bruna Biancardi wametangaza ujio wa mtoto wao mchanga ambaye wamempatia jina l...
07
Harmonize: Ibraah siyo msanii wangu
Msanii wa Bongo Fleva Harmonize ameendelea kummwagia sifa mwanamuziki Ibraah huku akidai kuwa Ibraah siyo msanii wake bali ni kaka yake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-...
07
Ed Sheeran ajenga kaburi lake nyumbani kwake, atoa sababu za kufanya hivyo
Mwanamuziki Ed Sheeran amefichua kuwa tayari amejenga kaburi lake nyumbani kwake Uingereza huku akitoa sababu za kufanya hivyo. Mw...
07
Hekima za Dulla Makabila
Kama ilivyokawaida ya mkali wa singeli nchini, Dulla Makabila kushusha jumbe tofauti tofauti katika ukurasa wake wa Instagram huku mara nyingi ukiwa ni wa kuwapa madini mashab...
07
Pogba hatiani kufungiwa ‘soka’ miaka 4
Mwanasoka nguli kutoka nchini Ufaransa Paul Pogba yupo hatiani kufungiwa kucheza mpira miaka minne kwa kosa linaloelezwa kuwa ni utumiaji wa dawa zilizopigwa marufuku za kusis...
07
Drake afunguka kuacha muziki ili azingatie afya yake
Muda mchache kabla ya kuachia albamu yake mpya ‘For All The Dogs,’ siku ya jana Drake alitangaza kuwa huenda akaachana na muziki kwa muda kidogo ili aweze kuzingat...
07
Shule zafungwa Ufaransa, sababu uvamizi wa kunguni
Waziri wa Elimu nchini Ufaransa, Gabriel Attal jana Ijumaa Oktoba 6, 2023, ametangaza kuwa nchi hiyo imelazimika kufunga shule saba ambazo kwa ujumla hupokea wanafunzi 1,500 b...
07
Kanye West na Bianca walifunga ndoa, vyeti vipo
Kutokana na sintofahamu na maswali mengi juu ya ndoa ya Kanye West na Bianca Censori zikihusisha ndoa yao kutotambulika kwani hawakuwahi kuonesha cheti chao cha ndoa sasa mamb...
07
Kizazi cha sasa champa mashaka Arnold Schwarzenegger
Muigizaji maarufu duniani Arnold Schwarzenegger amefunguka akiwa kwenye kipindi cha The Howard Stern Show, na kudai kuwa anapata mashaka na kizazi cha sasa kwani jamii inaunda...
07
Ariana kumlipa Dalton zaidi ya Tsh 3 bilioni
Baada ya ‘kesi’ kuunguruma mahakamani ya wanandoa Ariana Grande na Dalton Gomez kuhusiana na muafaka wa talaka yao hatimaye wamemalizana huku mrembo huyo akitakiwa...
06
Hatimaye Tems avunja ukimya
Mwanamuziki Tems kutoka nchini Nigeria aliyedaiwa kuwa na ujauzito kutokana na video zake zikimuonesha akiwa na tumbo kubwa, hatimaye amerudi tena mjini kwa kuachia wimbo wake...

Latest Post