04
Phina: Muziki haujawahi kuwa rahisi kwa mtoto wa kike
Akiwa katika interview na mmoja ya chombo cha habari mwanamuziki #Phina ametoa yamoyoni akidai kuwa muziki haujawahi kuwa salama na rahisi kwa mtoto wa kike. Aidha Mwanamziki ...
04
Ugonjwa wa ajabu wawakumba wanafunzi wa kike Kenya
Ugonjwa wa ajabu wa maumivu katika magoti na kushindwa kutembea umewakumba wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Eregi iliyopo Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambapo...
04
Sababu ya kifo cha muigizaji Jacky ni upasuji kujiongezea urembo
Hatimaye uchunguzi wa maiti uliofanywa na wataalamu umethibitisha kuwa muigizaji na mfanyabiashara Jacky Smith aliyefariki dunia mwezi mei mwaka huu, alipoteza maisha kutokana...
04
Naira Marley ashikiriwa na polisi kwa uchunguzi, Kifo cha MohBad
Baada ya ‘rapa’ kutoka nchini Nigeria Naira Marley kutoa tamko la kurudi nchini humo kwa ajili ya kusaidia uchunguzi kufuatia kifo cha mwanamuziki MohBad hatimaye ...
04
Master J atoa shukrani kupata shavu BASATA
Producer maarufu nchini Master J ameteuliwa kuwa mmoja wa wajumbe katika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Daniel Ndumbaro...
04
Ndoa ya Akothee yavunjika
Ndoa ya mwanamuziki na mfanyabiashara kutoka nchini Kenya, Akothee inadaiwa kuvunjika kutokana na ‘staa’ huyo kubadirisha jina kupitia ukurasa wake wa Instagram ku...
03
Mfahamu mwanamke aliyewahi kuvunja rekodi ya kuwa na misuli mikubwa zaidi
Katika ulimwengu wa sasa vipaji vimekuwa vikiwainua watu wengi hasa kuwapatia fedha za kuendeshea maisha yao na hata kumpatia mtu ...
03
Kunguni wazua balaa Ufaransa
Wakazi wa Paris nchini Ufaransa wajikuta wakiingia kwenye mapambano dhidi ya kunguni ambao wamekuwa wakienea katika maeneo mbalimbali. Inaelezwa kuwa mwazo kunguni hao walikuw...
03
Nguo alizovaa Jack kwenye Titanic kuuzwa kwa zaidi ya 200 milioni
Vazi alilovaa Leonardo DiCaprio au Jack Dawson wa movie ya Titanic linatarajiwa kupigwa mnada mwezi ujao ambapo vazi hilo linakadiriwa kuwa na thamani ya dola 115,000 hadi 230...
03
David Beckham: Make-up artist wangu yuko vizuri
Mchezaji wa zamani wa ‘Soka’ David Beckham kutoka nchini Marekani ambaye kwa sasa ni Rais wa ‘Klabu’ ya Inter Miami ameweka wazi kuwa make-up artist wa...
03
Je kukataza suruali za kubana, Vimini, na Milegezo ni njia ya kuboresha maadili
Kufuatia taarifa ya jana iliyo ripotiwa na mwananchi kuhusiana na sheria iliyowekwa Kata ya Kimnyaki wilayani Arumeru, Mkoa wa Aru...
03
Kocha adaiwa kuachana na ‘timu’ kisa matokea mabaya
Baada ya shinikizo kutoka kwa mashabiki na wa ‘klabu’ ya Esperance de Tunis ambao wanadai ‘timu’ hiyo haichezi mpira mzuri licha ya kutinga hatu ya mak...
03
Neymar ashangazwa na hali ya uwanja wa Azadi
Mchezaji wa zamani wa PSG ambaye kwa sasa anakipiga katika ‘timu’ ya Al-Hilal ameshangazwa na baada ya kuona hali ya uwanja wa Azadi kutoka nchini Iran, wakati &ls...
03
Bwana harusi asimulia tukio la moto ukumbini, Mkewe akata kauli
Kufuatia tukio la zaidi ya watu 100 kufariki katika sherehe ya harusi na wengine zaidi ya 150 baada ya moto kuwaka kwenye ukumbi wa harusi hiyo, katika wilaya ya Al-Hamdaniya ...

Latest Post