03
Suge hataki kusikia habari za kutoa ushahidi kuhusu kifo cha Tupac
Mtayarishaji mkongwe na CEO wa zamani wa Death Row Records, Suge Knight amedai kuwa hatopanda kizimbani kutoa ushahidi wa aliyemuua Tupac Shakur pamoja na kudaiwa kuwa alikuwa...
03
FIFA yaipiga kufuri Tabora United
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) waifungia kusajili wachezaji ‘klabu’ ambayo ipo katika ‘Ligi’ kuu ya NBC Tabora United, ambayo zamani ...
03
Hali bado tete kwa mchezaji Martinez
Beki wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #LisandroMartinez inadaiwa atakuwa nje ya uwanja kwa miezi mitatu kutokana na jeraha la mguu wa kulia. Kwa mujibu wa taarifa ...
03
Blac Chyna na Tyga waburuzana mahakamani kisa mtoto
Mwanamitindo kutoka nchini Marekani, Blac Chyna amfikisha mahakamani baba mtoto wake Tyga, ili apate haki ya malezi ya mwanaye. Inaelezwa kuwa tangu wawili hao watengana Blac ...
03
Trump adaiwa kuagiza chakula akiwa mahakamani
Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anadaiwa kuagiza chakula cha haraka maarufu kama MCDonald’s wakati wa kesi yake ya ulaghai wa dola 250 milioni, ikisikilizwa, ka...
03
Fei toto: Kisa yanga mpenzi wangu aliniacha
Aliyekuwa mchezaji wa Yanga Fei Toto amefunguka makubwa na kueleza kuwa sakata lake na ‘klabu’ ya Yanga la kuvunja mkataba lilimfanya akaachana na mpenzi wake aliy...
02
Mfahamu mwanaume aliyeacha kazi apate muda wa kuhudhuria misiba
Linapozungumziwa suala la uraibu baadhi ya  watu hudhani jambo hilo linaishia tu kwenye kunywa pombe, kula, kuvuta sigara au usingizi, lakini ukweli ni kwamba uraibu upo ...
02
Jinsi ya kuwa na muonekano mzuri siku ya mahafali (graduation) yako
Naam!! tunakutana tena kwenye ulimwengu wa mambo ya fashion na urembo, I hope mko poa watu wangu wa nguvu tunaendelea tulipoishia ...
06
Umuhimu wa kuwa single chuoni
Na Magreth Bavuma Ouyah eeeeh niaje niaje, karibuni tena kwenye segment yetu pendwa ya dunia ya wanavyuo “unicorner” sehemu moja tu tunayo elimishana juu ya m...
02
Jinsi ya kukiri makosa yako kazini
Ooooh!!! yes, ni week nyingine tena ambapo tunakutana kupitia kipingele cha makala za kazi, ajira, ujuzi na maarifa kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu sector h...
02
Lady jaydee, afunguka maandalizi ya ‘mambo matano’, siri ya kudumu kwenye game na utunzi wake
Hellow watu wangu wa nguvu tumekutana tena hapa kwenye segment yetu pendwa ya Burudani wazee wa kuburudika hili ndilo chimbo letu ...
02
Jinsi ya kupika donati za sukari ya kuganda
Uhali gani! mchakarikaji mwenzangu, mwisho wa mwezi huu embu tukae kidogo tuulizane umeingiza shilingi ngapi mwezi huu? au ndiyo patupu na upo tuu hapo hutaki kujishughulisha....
02
Barnaba: Diamond endelea kutufungua njia
Ikiwa leo ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa mwanamuziki Diamondplatnumz, baadhi ya watu wameendelea kumtakia kheri kwa maneno mbalimbali. Kwa upande wa wanamuziki Barnaba Class...
02
Fally Ipupa kufunguliwa mashitaka Uganda
Kampuni ya 243 Events ya kutoka nchini Uganda imepanga kumfungulia mashtaka mwanamuziki kutoka nchini Congo Fally Ipupa kudai haki yao baada ya mwanamuziki huyo kushindwa kuto...

Latest Post