Rapper mkongwe kutoka nchini Marekani #RickRoss mapema wiki hii alipokuwa akifanya mahojiano na #AppleMusic amedai kuwa miezi sita iliyopita ametumia takribani 251...
Kufuatia uchunguzi unaoendelea wa kifo cha MohBad, taarifa mpya zinaeleza kuwa ‘rapa’ Naira Marley na ‘promota’ wake Sam Larry wameamriwa kukaa rumande...
Mbunifu wa mitindo na mwimbaji kutokea nchini Uingereza Victoria Beckham amefunguka na kudai mume wake Davidi hakuwa mwaminifu wakati alipokuwa akiichezea Real Madrid mwaka 20...
Msanii Diamond amechaguliwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards katika kipengele cha msanii bora Africa.
Kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa Mtv wametoa taarifa hiyo kwa...
Baadhi ya ‘mastaa’ wa kike wajitokeza kumpongeza aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Korogwe Jokate Mwegelo baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT), am...
Mchezaji wa zamani wa ‘soka’ nchini Germany ambaye pia aliwahi kuchezea ‘timu’ ya taifa ya Ghana Kevin-Prince Boaten amefunguka na kudai kuwa aliwahi k...
Yamekuwa yakitokea matukio kwa baadhi ya miili ya watu kuchelewa kuzikwa baada ya kufariki kutokana na sababu mbalimbali kama vile za kifamilia, uchunguzi na nyinginezo.
Mwaka...
Kufuatia tukio ya kukamatwa kwa rafiki wa aliyekuwa mwanamuziki Tupac, hatimaye kwa mara ya kwanza ushahidi wa tukio hilo umeweza kuoneshwa.
Picha ambazo hazijawahi kuonekana ...
Nyota mashuhuri wa mpira wa kikapu Michael Jordan anadaiwa kuingia kwenye orodha ya watu 400 matajiri zaidi Marekani ambao huandikwa kwenye orodha inayoheshimika ya Forbes 400...
Takribani watu 21 wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa baada ya basi lililokuwa limebeba watalii kuanguka mita 30 kutokea kwenye daraja na kuwaka moto karibu na jiji la V...
Bilionea Elon Musk, amefunguliwa mashitaka na ex wake Grimes, ambaye alizaa naye watoto watatu,
juu ya haki ya malezi ya watoto wao.
Grimes amefungua mashitaka hay...