13
Martínez avunja ‘rekodi’ ya kutoruhusu mabao
Mlinda mlango wa ‘timu’ ya taifa ya Argentina, Emiliano Martínez anayecheza kwenye ‘klabu’ ya Aston Villan amevunja ‘rekodi’ baada y...
13
Wakili bandia aliyeshinda kesi 26 akamatwa
Mamlaka nchini Kenya imemkamata wakili bandia, Brian Mwenda Njagi, ambaye amekuwa akijitangaza kwa uongo kama Wakili wa Mahakama Kuu ya Kenya.Chama cha Wanasheria cha Kenya (L...
13
Chris aliwahi kumuomba Jada watoke, baada ya kusikia kaachana na Smith
Jada Smith ambaye aliyekuwa mke wa muigizaji Will Smith, amefichua kuwa Chris Rock aliwahi kumuomba watoke baada ya kusikia ameach...
13
Jinsi ya kupika saga noti kwa ajili ya biashara
Niaje niaje, watu wangu wa nguvu, kama mjuavyo kauli mbiu yetu ni kupiga kazi tuu bila ya kujali ni kazi gani uifanyayo maana siku hizi hakuna kazi za kiume wala za kike.Sasa ...
13
Mke wa aliyekuwa rais wa Gabon atupwa gerezani
Baada ya kutumikia kifungo cha nyumbani tangu Agosti 30, 2023, hatimaye mke wa Rais wa zamani wa Gabon, Sylvia Bongo ametupwa jela katika gereza la Libreville, Oktoba 10 kwa m...
13
Mchongo wa Kontawa kwenda jeshini uko hivi.., atuma dedication kwa Zee Cuty
Kama ilivyo kawaida yetu ni mwendo wa ma-exclusive tu hahaha hatutaki utani sisi, na wala hatupendi mwanafamilia wetu wa Mwananchi...
13
Serena kuwa mcheza tenisi wa kwanza kupata tuzo ya uanamitindo
Mchezaji maarufu wa mpira wa tenisi Serena Williams anatarajia kutunukiwa tuzo ya utambuliso wa mitindo na atakuwa mcheza tenisi wa kwanza kupewa tuzo hiyo.Baraza la Wabunifu ...
13
Maajabu ya nguo zenye rangi ya chui ‘leopard print’
Hellow my beautiful people, kumbuka leo tumeanza weekend mpya kama kawaida tunakutana tena hapahapa katika ulimwengu wa Fashion kuna mengi mapya this weekend nikusihi tu endel...
13
Tishio la matumizi ya ai kwa wanavyuo
Na Magreth BavumaOuyah wanangu eeeh, mambo niaje karibuni tena kwenye kona yetu pendwa ya dunia ya wanavyuo “unicorner” ni chimbo hili tu linalo wakutanisha wanavy...
13
Ice Spice ataka mashabiki wazingatie muziki wake na siyo mahusiano yake
Mwanamuziki Ice Spice kutoka nchini Marekani amesema kuwa anataka mashabiki wake waingatie zaidi muziki wake kuliko mahusiano yake...
13
Young Killer: Mama yangu ndiyo mtayarishaji wa ngoma zangu
Msanii kutoka nchini Young Killer amewashangaza mashabiki wengi baada ya kuweka wazi kuwa mama yake mzazi ndiyo mtayarishaji wa nyimbo zake.Young Killer kupitia ukurasa wake w...
12
Yulimar ateuliwa kuwania tuzo mwanariadha bora wa mwaka
Umekuwa mwaka mzuri kwa mwanariadha kutoka nchini Venezuela, #YulimarRojas si kwa sababu tu alifuzu kwenye michezo ya Olimpiki’ lakini pia siku ya jana ameteuliwa kuwani...
12
Ajuta kufanya upasuaji, Anaishi kama mtoto
Mwanamke mmoja kutoka Uingereza anayefahamika kwa jina Lea Lazaro ajutia kufanya upasuaji wa mwili wake wote ambao umepelekea kurudi kama mtoto na baadhi ya maumbile yake kuha...
12
Galtier atimua vumbi Qatar
Aliyekuwa ‘kocha’ wa PSG msimu uliopita, Christopher Galtier ametangazwa kuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘Klabu’ ya Al Duhail ya nchini Qatar akichuku...

Latest Post