23
Robertinho kuja na mpango mpya ‘mechi’ ya marudiano
‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya Simba,  Robertinho ameahidi kuja na mpango wa tofauti katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly unaotarajiwa kuchezwa kesh...
23
AFL sheria ya bao la ugenini ipo palepale
Kwa mujibu wa kanuni za mashindano ya African Football league (AFL) kuelekea mchezo wa kesho kati ya Al Ahly dhidi ya Simba lile bao la ugenini lipo. Kanuni ya 15 kifungu kido...
23
Nasty C: Hakuna msanii anaye nizidi kuandika
‘Rapa’ kutoka #AfrikaKusini, #NastyC amedai kuwa hakuna ‘rapa’ kutoka Afrika anaye mfikia kuandika na kutunga mashairi. Akiwa katika mahojiano na LTido...
23
Wastara: Ni ngumu kupata nafasi ya pili kwenye maisha
Muigizaji mkongwe wa #BongoMovie Wastara Juma amewataka watu watumie vizuri nafasi na fursa wanazo zipata, huku akidai kuwa kwenye maisha ni ngumu sana kupata nafasi ya pili. ...
23
Rema: Huyu ndio Rais wa kwanza kukutana nae
Baada ya kuhudhuria katika Tuzo za Trace nchini Rwanda Mwimbaji wa Afrobeat kutoka Nigeria Rema alikutana na raisi wa nchi hiyo Paul Kagame na kuweka wazi kuwa ndio raisi wa k...
23
John afunguka kumfumania mpenzi wake na Danza
Muigizaji kutoka nchini #Marekani, #JohnStamos anadai kuwa aliwahi kumfumania mpenzi wake Teri Copley na muigizaji mwenzie Tony Danza. John anadai kuwa mwaka 1980 aliwakuta wa...
23
Azam yawekewa mkwanja mrefu kuiua Yanga
‘Klabu’ ya Azam FC leo Jumatatu itakuwa mgeni wa ‘timu’ ya #Yanga kwenye mchezo wa ‘Ligi’ kuu mzunguko wa sita ‘mechi’ itakayoc...
23
Zuchu kuhamasisha watu kuchangia watoto Gaza
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Zuchu amejitolea kuunga mkono zoezi la kusaidia watoto #Gaza wanaokumbana na changamoto ya vita inayoendelea kati ya #Palestina na #Israel. Kupitia...
23
Elon aishauri Wikipedia kubadili jina
Mfanyabiashara na tajiri mkubwa duniani Elon Musk amewashauri wamiliki wa mtandao wa Wikipedia kubadilisha jina lao huku akidai atawapatia ofa ya zaidi ya dola bilioni moja. E...
23
Mashabiki wasusia tamasha, Baada ya mchekeshaji kuongelea vita ya Islael, Palestina
Mchekeshaji kutoka nchini #Marekani, #DaveChappelle amejikuta akiwafukuza mashabiki walio hudhuria katika tamasha lake la vichekes...
23
Lingard aendelea kukoshwa na ‘Shuu’ ya Diamond
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya #England na ‘klabu’ ya #Ettifaq kutoka Saudi Arabia, #JesseLingard ameendelea kukoshwa na wimbo wa mwanamuziki #Diamond ...
23
Blueface amchumbia Jaidyn
Baada ya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu, hatimaye ‘rapa’ kutoka nchini Marekani #Blueface amemvisha pete mzazi mwezie Jaidyn Alexis. Wawili hao w...
22
Adam afunguka kuzuiwa kufanya mazoezi kabla ya tamasha
Msanii kutoka nchini Uingereza, Adam Thomas amevunja ukimya baada ya kupigwa marufuku kufanya mazoezi ya wimbo wake baada ya kuhofiwa kuwa na ugonjwa wa mafua kabla ya kuingia...
22
Bila Maguire Man United hawatoboi
‘Rekodi’ zinaonesha kuwa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited imekuwa ikishinda sana ‘mechi’ ambazo beki wao wa kati #HarryMaguire akianza kwenye k...

Latest Post