29
Nyota wa mchezo wa ‘Ice-Hockey’ afariki uwanjani
Mchezaji wa kulipwa wa mchezo wa ‘Ice-hockey’ kutokea #Marekani #AdamJohnson mwenye umri wa miaka 29, amefariki dunia jana usiku kwa ajali ya kukatwa shingo na fim...
29
50 Cent audhihaki muonekano wa Madonna
‘Rapa’ mkongwe kutoka nchini Marekani, #50Cent inadaiwa kuwa ameudhihaki muonekano wa mwanamuziki #Madonna kwa kumcheka baada ya ‘kumposti’ katika ukur...
29
Israel yachukizwa na kauli ya Elon Musk
Taifa la Israel limekasirishwa na kauli ya mfanyabiashara Elon Musk kusaidia Gaza kurudisha mawasiliano, ni baada ya hivi karibuni mmliki huyo wa mtandao wa X kutoa ahadi ya k...
29
Perry afariki kwa mshutuko
Muigizaji kutoka nchini Marekani Matthew Perry amefariki dunia baada ya kupata mshtuko na kudondokea kwenye Jacuzzi nyumbani kwake Los Angeles jana Jumamosi.kwa mujibu wa vyom...
29
Wazazi wa Diaz wadaiwa kutekwa
Wazazi wa mchezaji nyota wa ‘klabu’ ya #Liverpool, #LuisDiaz wanadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakati wakiwa kwenye gari kuelekea nyumbani kwao Mjini Barranc...
28
Mercy Chinwo na mumewe wapata mtoto
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, #MercyChinwo na mumewe #BlessedUzochikwa, wamepata mtoto wa kiume.Wanandoa hao walitoa taarifa hiyo Jana Ijumaa kupitia mitandao yao ya k...
28
Mlinzi wa msanii Trey jela mwaka mmoja
Bodyguard wa mwanamuziki wa R&B kutoka nchini Marekani Trey Songz, Cornell Whitfield amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kumpiga shabiki nchini Dubai.Inae...
28
Aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza aangukia kwenye utangazaji
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ameibuka kwenye uandishi wa habari na atafanya kazi katika kituo cha televisheni cha GB News kilichopo jijini London.Kwa mujib...
28
Arnold Schwarzenegger hana mpango wa kuoa tena
Baada ya Muigizaji mkongwe kutoka nchini Marekani Arnold Schwarzenegger kupeana talaka na mkewe Maria Shriver mwaka 2021, inadaiwa kuwa muigizaji huyo kwa sasa hana mpango wa ...
28
‘Rapa’ Tory aendelea kusota gerezani, dhamana yake yagonga mwamba
Baada ya ‘timu’ ya wanasheria wa ‘rapa’ Tory Lanez kutoka Canada kupeleka ombi la kumuachia msanii huyo kw...
28
Amteka mtoto wa ex wake, akitaka hela
Mwanaume mmoja kutoka nchini Marekani, Richard White, mwenye umri wa miaka 36 anashikiliwa na polisi kwa madai ya kumteka nyara mtoto wa ex wake mwenye umri wa miaka mitano, m...
27
Baba Levo kuwarudisha Diamond na Harmonize pamoja
Mwanamuziki wa bongo Fleva #BabaLevo ameleza kuwa kwasasa ipo haja ya #Harmonize na #Diamond kumaliza tofauti zao.Baba levo kupitia ukurasa wake wa #Instagram ame-share &lsquo...
27
Chris Brown afunguliwa mashitaka
Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la #AbeDiaw amemshitaki mwanamuziki #ChrisBrown kwa madai ya kumpiga na chupa kichwani mwezi #Februari, katika club ya #Tape nchini #Uing...
27
Watu wachangamkiza nguo za Kim Kardashian
Waswahili wanasema ‘namba’ hazidanganyi na hii imejidhihirishia siku ya jana Alhamisi 26, 2023 katika uzinduzi wa nguo za kiume kutoka kwenye chapa ya SKIMS MENS i...

Latest Post