Mbwa atafuna dola 4,000 za mmiliki wake

Mbwa atafuna dola 4,000 za mmiliki wake

Mbwa mmoja kutoka Pennsylvania aitwaye Cecil, amezua gumzo baada ya kutafuna bahasha iliyokuwa na hela $4,000 ambazo mmiliki wake alikuwa ameziweka kwa ajili ya kumlipa mkandarasi kwa kuwawekea uzio.

Inaelezwa kuwa mmiliki wa mbwa huyo aitwaye Clayton Law aliweka bahasha iliyokuwa na $4,000 ambazo ni zaidi ya 10 milioni kwenye kabati lake la jikoni lakini baadaye alimkuta mbwa huyo akiwa anaitafuna huku vipande vingine vya pesa vikiwa vimetawanyika kila mahali.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post