Mke wa Mane alivyopokelewa kwa shangwe baada ya kurudi shule

Mke wa Mane alivyopokelewa kwa shangwe baada ya kurudi shule

Baada ya kufunga ndoa siku ya Jumapili, Januari 7, mke wa mchezaji kutoka ‘klabu’ ya #Alnassr #SaidoMane#AishaTamba amerudi tena katika shule ya 'Cabis' iliyopo nchini Senegal kuendelea na masomo ikiwa ni siku moja tu baada ya ndoa kufungwa na kupokelewa kwa shangwe na wanafunzi wenzie.
.
.
#mwananchiscoop
#burudikanasi






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post