07
Wachezaji Yanga wapewa zawadi milioni 700
Wakati ‘Klabu’ ya Simba ikisitisha mkataba wake na aliyekuwa ‘kocha’ mkuu Robertinho, Uongozi wa ‘Klabu’ ya Yanga baada ya kufurahishwa na ...
07
Muhimbili kupandikiza nyonga na magoti bandia
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa kushirikiana na Hospitali ya Queen Elizabeth ya nchini Uingereza itafanya kambi Maalumu ya upasuaji wa kuweka nyonga na magoti band...
07
Mashabiki waomba Manara aachiwe huru
Mashabiki kutoka katika Tawi la Temboni wameliomba Shirikisho la ‘Soka’ Tanzania (TFF) kumuachia huru aliyekuwa msemaji wa ‘Klabu’ ya Yanga Haji Manara...
07
Simba yampa Thank you Robertinho
‘Klabu’ ya #Simba imechukua maamuzi ya kuvunja mkataba wa aliyekuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘timu’ hiyo Robertinho Oliveira. Vilevile ‘timu&r...
07
Best Naso adai kufanyiwa uhuni kwenye muziki
Msanii wa #BongoFleva, #BestNaso adai kufanyiwa uhuni kwenye muziki baada ya kuachia video yake ya ‘Simpendi Mama’ kutoka kwenye EP yake ya ‘Top4 Story&rsquo...
07
Robertinho awekwa kikaangoni, Kipigo cha Yanga
Kocha mkuu wa ‘Klabu’ ya Simba Roberto Oliveira 'Robertinho' anatajwa kukalia kuti kavu kutokana na matokeo ya ‘mechi’ iliyochezwa juzi kwenye Uwanja w...
07
Naira Marley na Sam Larry waachiwa kwa dhamana
Baada ya kukaa kizuizini kwa wiki kadhaa hatimaye mwanamuziki #NairaMarley na ‘promota’ wake #SamLarry wameachiwa kwa dhamana ya N20 milioni ambayo ni zaidi ya tsh...
07
G Nako: Live band ndiyo muziki kwa sasa
Mwanamuziki wa Hip-hop nchini #GNako @gnakowarawara amewataka wasanaii wa muziki wa #Bongo wawe na mabadiliko kwa kufanya muziki wa live band kwenye show zao. Ameyasema hayo a...
07
Ahukumiwa kwa unyanyasaji wa kingono kwa wanafunzi
Mwalimu katika shule ‘kibaptisti’ nchini #Marekani anayetambulika kwa jina la Anne Nelson-Koch, amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa kosa la unyanyasaji wa ki...
07
Mr Ibu akatwa mguu
Muigizaji maarufu kutoka nchini Nigeria, Mr Ibu amekatwa mguu wake mmoja kutokana na ugonjwa unaomsumbua ambapo familia haijaweka wazi maradhi yanayo msumbua muigizaji huyo. K...
07
Diamond akabidhiwa muongozo wa maadili
Baada ya msanii Diamond Platnumz kushinda Tuzo ya MTV EMA 2023 alitembelea katika ofisi za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) na kukabidhiwa muongozo wa maadili katika kazi za San...
07
Mkali wa Black Panther afariki na watoto wake watatu
Muigizaji maarufu kutoka nchini Marekani, Taraja Ramsess amefariki dunia akiwa na watoto wake watatu baada ya gari lake kugonga trekta. Taraja ambaye ameonekana katika movie y...
07
Rais wa kitaa na Messi wa bongo fleva wanajambo lao
Mwanamuziki wa Hip-Hop Nay Wa Mitego na Rich Mvoko, wanatarajia kuachia ngoma yao hivi karibuni, itakayoenda kwa jina la #SioWewe, Nay amedhihirisha ujio wa ngpma hiyo kupitia...
06
Bruno mtu na nusu saudi arabia
Inadaiwa kuwa nahodha wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #BrunoFernandes, ni kivutio cha ‘klabu’ mbalimbali kutoka nchini Saudi Arabia, na inaelezwa kuwa...

Latest Post