09
Mfahamu ng’ ombe mfupi kuliko wote duniani
Kama unadhani duniani umeona kila kitu, utakuwa unajiongopea kwani kila siku yanaibuka mambo mpya huku yapo ya zamani pia ambayo bado huyafahamu. Katika ulimwengu ni nadra san...
09
Tuzo za Grammy 2025 kufanyika Rwanda
Inadaiwa kuwa ifikapo mwaka 2025, Tuzo maarufu duniani za Grammy zanatarajiwa kufanyika nchini Rwanda. Inaelezwa kuwa CEO wa Grammy, Harvey Mason Jr mwaka 2022 alitembelea nch...
09
Mimi Mars hawezi kugombania mwanaume
Mwanamuziki na muigizaji nchini #MimiMars amedai kuwa hawezi kugombana mwanamke mwenzake kisa mwanaume niaibu kwake kwa jinsi alivyolelewa. Akizungumza na waandishi wa habari ...
09
Diarra: CAF imenipa nguvu
Baada ya kukaa langoni kwa dakika 630 na kuisaidia ‘timu’ yake kuongoza msimamo wa ‘Ligi’ Kuu Bara, mlinda mlango namba moja wa #Yanga, #DjiguiDiarra a...
09
Kenya yaongoza kwa ukarimu Afrika
Kwa mujibu wa shirika la kutoa misaada la kibinadamu la The Charities Aid Foundation (CAF) imetaja kuwa Kenya ndiyo nchi inayoongoza kwa ukarimu Afrika. Ambapo imetajwa kuwa n...
09
Wabunge kumchangia Professor Jay
Wabunge waonesha nia ya kutaka kumsaidia aliyewahi kuwa Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambaye pia ni mwanamuziki wa Hip Hop, Josep...
09
Chama: Hakuna haja ya kunyoosheana vidole
Mchezaji wa ‘Klabu’ ya Simba Clatous Chota Chama ametoa ushauri kufuatia yanayo endelea katika ‘timu’ yake kwa kueleza kuwa kwa sasa haina haja ya wao ...
09
Hilda Baci: Nitabaki kuwa mmiliki wa rekodi
Ikiwa zimepita siku chache tangu ‘rekodi’ ya mpishi maarufu kutoka Nigeria Hilda kuvunjwa amedai kuwa kwenye roho yake na historia atabaki kuwa mmiliki wa rekodi h...
09
Moto wazidi kumuwakia Sancho, Aondolewa kwenye group
Winga wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #JadonSancho kwa upande wake mambo yanazidi kuwa makubwa kila kukicha huku muafaka baina yake na ‘kocha’ wa &lsq...
09
Diamond aitabiria Tanzania
Baada ya kuipeperusha Bendera ya Tanzania katika Tuzo ya #MTVEMA 2023 msanii Diamond ameendelea kuitabiria makubwa Tanzania kwa kudai kuwa soon bendera hiyo itakuwa katika Tuz...
09
Regina: Nitachagua kumtolea figo mume wangu na siyo baba yangu
Mwigizaji maarufu kutoka nchini #Nigeria, #ReginaDaniels amezua gumzo mitandaoni baada ya kudai kuwa yuko tayari kumtolea figo mumewe Mh.NedNwoko ili apone na aendelee kuishi ...
09
Rick Ross na Meek Mill watanguliza Tracklist ya Albumu yao
Wanamuziki kutoka nchini #Marekani, #RickRoss na #MeekMill wameachia Tracklist ya Albamu yao ya pamoja 'Too Good to Be True' ambayo itatoka rasmi Ijumaa, Novemba 10 mwaka huu....
09
Rais Samia aivunja bodi ya mawasiliano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuivunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyekiti wa...
08
Mwakinyo kuingia ulingoni Zanzibar
Licha ya kufungiwa mwaka mmoja na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania Bara (TPBRC), bondia Hassan Mwakinyo ameibukia visiwani Zanzibar na anatarajiwa kuingia ulingoni Novem...

Latest Post