15
Robertinho aacha walaka kwa Dewji, Kuhusu Azizi Ki
Aliyekuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘Klabu’ ya Simba Robertinho ameacha walaka kwa Rais wa timu hiyo, Mohammed Dewji na kumtaka amng’oe Aziz Ki Yanga. Robe...
15
Avunja rekodi kwa kutengeneza wigi refu zaidi duniani
Mtengenezaji mawigi kutoka Lagos nchini Nigeria, Helen Williams amevunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kutengeneza 'wigi' refu zaidi duniani kwa kutumia mikono. Kwa mijibu w...
15
Kipa wa Brazil akwepa mpira makusudi
‘Golikipa’ wa ‘klabu’ ya #Corinthians ya nchini #Brazil, #CassioRamos, amewashangaza mashabiki wa ‘timu’ hiyo waliokuwa uwanjani baada ya k...
15
Kisa maokoto ya Banda, Chippa United yaingia kwenye mfumo FIFA
‘Klabu’ ya #ChippaUnited ya nchini #AfrikaKusini imefungiwa kusajili wachezaji na Shirikisho la Soka FIFA mpaka itakapomlipa mchezaji raia wa Tanzania #AbdiBanda. ...
15
Mo Dewji awaomba wanasimba kuwaamini viongozi
Rais wa ‘klabu’ ya Simba Mohammed Dewji amewataka mashabiki wa ‘klabu’ hiyo kuwa na imani na viongozi waliochaguliwa. Mo amewaomba Wanasimba kutulia, k...
15
Rayvanny 2023, Siyo kinyonge
Msanii wa muziki nchini #Rayvanny ametangaza ujio wa Project yake mpya kabla ya mwaka kuisha, aliyoipa jina la ‘FIVE FOR YOU (5.4.U)’. Project hiyo mpya Vanny Boy ...
15
Atembea kama Miss kwenye mazishi ya rafiki yake
Mwanamitindo kutoka nchini Marekani Erica L. Carrington amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutembea kama miss katika mazishi ya mbunifu mwenzake Vernest Moore wa...
15
Cr7 kushiriki kombe la dunia uarabuni
Inadaiwa kuwa ‘klabu’ ya #AlNassrFC ya #SaudiArabia imefanya mazungumzo na nyota wa #Ureno, #CristianoRonaldo juu ya nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kusalia ...
15
Rick Ross atafuta mfanyakazi
‘Rapa’ na mfanyabiashara maarufu kutoka nchini Marekani, Rick Ross ametangaza kutoa nafasi ya kazi katika ndege yake binafsi kwenye upande wa muhudumu. Rick ameyas...
15
Marufuku kutumia TikTok
Serikali ya Nepal imepiga marufuku matumizi ya mtandao wa kijamii wa TikTok kutokana na tuhuma za kuwa inavuruga maelewano ya kijamii huku zaidi ya kesi 1,600 za uhalifu wa mi...
14
Nay wa Mitego atinga BASATA, Akabidhiwa muongozo
Baada ya wasanii mbalimbali kujitokeza Baraza la Sanaa Taifa, (BASATA) kufuata muongozo wa maadili katika kazi ya Sanaa msanii Nay wa Mitego amefika katika baraza hilo na kuch...
14
Mbosso, Whozu na Nenga walegezewa kamba
Ikiwa imepita wiki moja tangu wasanii Mbosso, Billnass na Whozu kufungiwa kujihusisha na kazi za muziki, kutokana na video ya Whozu ‘Ameyatimba’ kuwa na maudhui ya...
14
Wasanii wanaotumi dawa za kulevya kukiona
Wasanii wanaotumia dawa za kulevya watakiwa kujirekebisha, kabla hatua juu yao hazijachukuliwa. Hayo yamesemwa na Aretas Lymo ambaye ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kupamba...
14
Patachimbika Diamond, Rema na Asake kukiwasha jukwaa moja
Waandaji wa tamasha la #Afronation tayari wameachia majina ya wasanii watakao tumbuiza katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Juni 26-28 mwaka 2024, mjini Portimao nchin...

Latest Post