21
Jezi sita za Messi kuuzwa bilioni 25
‘Jezi’ sita alizozivaa mchezaji kutoka ‘Klabu’ ya Inter Miami, Lionel Messi katika kombe la dunia akiwa na ‘timu’ yake ya Taifa ya Argentin...
21
Shabiki wa Yanga na bango la 5g kwenye uwanja wa Arsenal
Shabiki wa ‘Klabu’ ya Yanga anayefahamika kwa jina la Maalim Nash ameendelea kusimika mabango ya 5G katika viwanja vikubwa mbalimbali vilivyopo nchini Marekani.Kup...
21
Zuchu akubaliana na Rema
Mwanamuziki wa bongo fleva Zuchu amekubaliana na maneno aliyoyasema msanii kutoka nchini Nigeria Rema kuwa watu hawatakiwi kuweka pesa mbele.Kupitia Instastory ya Zuchu ame-sh...
21
Aina hii ya marafiki watakusaidia kufikia malengo kazini
Miaka ya hivi karibuni imetufundisha mengi kuwa siku hizi unasaidiwa sana na rafiki kuliko ndugu uliyezaliwa naye, hii ni kutokana na kutiliana vinyongo na kutopenda mafanikio...
21
Muonekano unavyowabeba wasanii
Leo kwenye Burudani tunaangalia wasanii na mionekano yao. Wapo baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza kwani kuna ulazima wa msanii kuvaa nguo za ajabu, mabwanga, nguo za kuchanik...
21
Jinsi ya kupika chapati laini za kuchambuka
Ooooiiiiiih! yaani mpaka mseme, hivi na nyie mmegundua siku za hivi karibuni biashara hii ya kupika chapati imekuwa katika maeneo mengi yenye mkusanyiko wa watu.Tena kilichoni...
21
Uvaaji wa vipini na hereni kwa wanaume
Leo katika Fashion mambo yamekuwa mengi na this time nita-deal na fashion kwa wanaume jinsi gani wanavyoonekana katika urembo wa hereni na vipini.Yaweza kuwa niajabu kwa wazee...
21
Kesi ya Diddy na Cassie yafutwa mahakamani
Baada ya mwanamuziki na muigizaji kutoka nchini Marekani Cassie kufungua kesi mahakamani kwa madai ya kunyanyaswa kingono na mkali wa ‘rapa’ Diddy hatimaye kesi hi...
21
Shakira akwepa kwenda jela, akubali kulipa faini
Mwanamuziki kutoka #Colombia, #Shakira amefanya makubaliano na waendesha mashitaka kutoka nchini Hispania kumaliza kesi ya kukwepa kulipa kodi.Msanii huyo anakabiliwa na shaur...
21
Drake & Taylor wachuana tuzo za Billboard
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Drake na mwanamuziki mwezie Taylor Swift wanashikiria rekodi ya ushindi wa muda wote katika Tuzo za muziki za Billboard (BBMAs) baada...
21
Azikwa hai kwa siku 7 akitengeneza kontenti ya youtube
Mwanaume mmoja kutoka nchini Marekani ambaye pia ni mwandishi wa habari wa mitandaoni anayefahamika kwa jina la Jimmy Donaldson maarufu kama Mr Beast ame-trend kupitia mitanda...
21
Snoop Dogg kuacha kuvuta sigara ilikuwa ni kiki
Ni siku tano tuu zipite tangu ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Snoop Dogg kutangaza kuacha kuvuta sigara, hatimaye imegundulika kuwa ilikuwa ni kiki ya tangazo la kam...
20
Eric akubali kuonesha sura ya mwanaye baada ya kulipwa zaidi ya tsh 80 milioni
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omondi amedai kuwa anatarajia kufichua sure ya mtoto wa kike aitwaye Kyla baada ya kulipa zai...
20
Diamond: Sipendi kushindana na watu wa nchi hii
Msanii Diamond amedai kuwa hapendi kushindana na watu wa nchi hii kwani hata akitoa intro ya wimbo ina-hit kuliko nyimbo za wasanii wengine.Hayo yamekuja baada ya into ya Diam...

Latest Post