23
Bella amuita Fid studio
Msanii wa hip-hop nchini #Fidq ame-share ‘chati’ zake na msanii #ChristianBella akimuitwa studio kwa lengo la kufanya naye ngoma.Kupitia ukurasa wa Instagram wa #F...
23
Simba yafanya jaribio la kumng’oa Maxi Yanga
‘Klabu’ ya Simba wamefanya jaribio zito la kutaka kumng’oa juu kwa juu kiungo wa Yanga Mkongomani, Maxi Nzengeli ambaye alipiga mabao mawili dhidi ya Simba k...
23
Hatimaye Eric Omondi afuchua sura ya mwanaye
Ikiwa ni siku chache zimapita tangu mchekeshaji kutoka nchini #Kenya, #EricOmondi kulipwa zaidi ya Tsh 81 milioni kufichua sura ya mtoto wake wa kike #Kyla, hatimaye ameonesha...
23
Rick Ross awafurahisha wanaoishi mtaa mmoja na bibi yake
Katika sikukuu ya ‘Thanks Giving’ inayofanyika kila mwaka Novemba 23, nchini Marekani, Rick Ross ameitumia kwa kutoa misaada kwa jamii.Rick Ross ameenda kumtembele...
23
Kesi ya unyanyasaji wa kingono yamkabili Foxx
Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani anaye aitwaye Jane Doe anamtuhumu muigizaji na mchekeshaji James Fox kwa kumfanyia unyanyasaji wa kingono mwaka 2015.Jane alidai kuwa Fox...
23
Quavo atoa misaada kwa familia 300
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #Quavo ametoa misaada mbalimbali kwa familia 300 #Atlanta katika sikukuu ya ‘Thanks Giving’.#Quavo kupitia taasisi yake y...
22
Harmonize alitaka kuzichapa jana kwa Mkapa
Inadaiwa kuwa mwanamuziki wa bongo fleva Harmonize ataka kuzichapa na walinzi wa uwanja wa Taifa Benjamin Mkapa baada ya walinzi hao kukataa msanii huyo asiingie na walinzi (B...
22
Kipa wa jana Stars atoa neno
Baada ya Timu ya Taifa Tanzania 'Taifa Stars' kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa wageni wao Morocco ‘mechi’ ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 iliyopigwa jana Uw...
22
Calm down ya Rema na Romez yaendelea kuupiga mwingi
'Kolabo' ya wimbo wa ‘Calm Down’ uliofanywa na mwanamuziki kutoka Nigeria #Rema na #SelenaGomez imeendelea kuupiga mwingi kupitia chats mbalimbali, kwa sasa unataj...
22
Zamu ya Burna Boy kusimama kwenye uwanja uliojazwa na mastaa wa Marekani
Baada ya kufanya show katika majukwaa makubwa duniani, sasa mwanamuziki #BurnaBoy anatarajia kufanya show katika uwanja wa #London...
22
Mechi ya Brazil na Argentina ilivyozua balaa
‘Mechi’ iliyochezwa jana Jumanne ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 kati ya Brazil na Argentina iliingia dosari baada ya kucheleweshwa kuanza na kuwafanya mashabiki kua...
22
Harmonize ampa nguvu Dulla Makabila
Mwanamuziki wa singeli #DullaMakabila ametoa shukurani kwa msanii wa bongo fleva #Harmonize baada ya #Konde kueleza kuwa wimbo wa singeli kuwa hit Tanzania ni wa #Dulla.#Harmo...
22
Davido awashukuru waandaaji wa Grammy
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini #Nigeria, #Davido ametoa shukurani kwa waandaaji wa Tuzo za #Grammy baada ya jina lake kuwa miongoni mwa wateule wa tuzo hizo.Kupitia mahojiano...
22
Taarifa ya wanawake wanaofariki wakiongeza makalio yamuibua Muna
Mfanyabiashara #MunaLove amedai kuwa mtu akienda kupata huduma ya upasuaji kwa ajili ya kuongeza makalio kuna taarifa ambazo madaktari huwa hawamwambii mteja hadi wakimaliza k...

Latest Post