30
‘Kipa’ Kelleher kuvaa viatu vya Becker
Kocha wa ‘klabu’ ya #Liverpool #JurgenKlopp amethibitisha kukosekana kwa mlinda mlango #AllisonBecker kwa wiki kadhaa baada ya kupata jeraha la misuli ya paja kati...
30
Mwanamke wa miaka 70 ajifungua mapacha
Mwanamke mmoja kutoka nchini #Uganda aitwaye, Safina Namukwaya mwenye umri wa miaka 70 amezua gumzo mitandaoni baada ya kujifungua watoto mapacha akiwa na umri huo. Kwa mujibu...
30
Netflix yaachia reality show ya Squid Game
Kampuni ya #Netflix imeachia rasmi Squid Game the Challenge ambalo ni onesho la shindano la uhalisia lililohamasishwa na Tamthilia ya #Kikorea ya #SquidGame. Ambapo washiriki ...
30
Akiri kupata tsh bilioni 15 kwa njia ya udukuzi
Raia mwenye asili ya Nigeria na Uingereza anayefahamika kwa jina la Idris Dayo Mustapha mwenye umri wa miaka 33 amekiri mahakamani kosa la udukuzi wa mitandaoni nchini Marekan...
30
Ngono zembe yaongeza kasi maambukizi ya VVU kwa vijana
Chuo kikuu cha Aga Khan jijini #Nairobi nchini Kenya kimebaini kufanya ngono zembe kwa vijana kumeongeza kasi ya maambukizi ya nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika...
30
Mchezaji Marcus anusurika kifo
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya #Tottenham #MarcusEdwards amenusurika kifo baada ya kupata ajali wakati akielekea mazoezini akiwa katika gari aina ya Range Rover ...
30
Kisa usaliti Neymar na mpenzi wake waachana
Mwanasoka kutoka nchini #Brazil, #NeymarJr na mpenzi wake, #BrunaBiancardi wanadaiwa kuwa wametengana mwezi mmoja tu baada ya kupata mtoto wao wa kwanza. Kwa mujibu wa vyombo ...
30
Naira Marley na Sam wapambana kurudisha heshima yao
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria #NairaMarley, na promota #SamLarry baada ya jana kuonekana kwa mara ya kwanza tangu kuachiwa kwao, waawili hao waliamua kutoa sadaka kwa wat...
30
Harmonize na Mr Tabulele waingia studio
Baada ya kutua katika jiji la Dar es salaam usiku wa kuamkia leo mwamuziki kutoka #Congo anaetamba #Bongo kupitia wimbo wake wa ‘Tabulele’, sasa msanii huyo tayari...
30
Mashabiki wamjia juu kipa wa Man U
Baadhi ya mashabiki wa Manchester United wamemjia juu golikipa, Andre Onana wakidai ndio chanzo cha kutoka sare 3-3 katika mechi ya UEFA dhidi ya Galatasaray. Katika mitandao ...
29
Ramos bora angekubali kadi ya njano
Katika mchezo kati ya ‘klabu’ #Sevilla dhidi ya #RealSociedad inadaiwa kuwa mchezaji wa ‘klabu ya Sevilla, #SergioRamos alimuomba muamuzi akaangalie kwenye V...
29
Marufuku kuingia bungeni na kaunda suti
Bunge nchini Kenya limepiga marufuku uvaaji wa suti iliyopewa jina la aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Kenneth Kaunda ndani ya jengo hilo. Spika wa Bunge, Moses Wetangula ame...
29
Wanamuziki wa Nigeria watamba Ghana
Mtandao wa kusikiliza muziki wa ‘Apple Music’ kutoka nchini Ghana umetoa orodha ya ngoma 10 bora ambazo zimesikilizwa zaidi nchini humo kwa mwaka 2023 ambapo ngoma...
29
Burna boy, Wizkid na Skepta waingia studio
Wasanii kutoka nchini Nigeria, Burna Boy, Wizkid na Skepta wameingia studio kwa mara ya kwanza huku wakionekana kila mmoja akiiingiza voko zake. Hii itakuwa ni ngoma ya kwanza...

Latest Post