02
Wanasoka wanaomiliki ndege binafsi zenye thamani zaidi
Baadhi ya watu maarufu duniani wamekuwa wakitamani na wengine kuwekeza kwenye umiliki wa ndege binafsi, wapo baadhi ya wanamuziki ambao tayari wanamikili vyombo hivyo vya usaf...
02
Ugomvi wa wanandoa wasababisha ndege kutua kwa dharura
Ndege ambayo ilikuwa njiani kutoka Munich, Ujerumani kuelekea Bangkok, ambao ni Mji Mkuu wa Thailand, imelazimika kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Indira Gandhi nch...
02
Kelvin wa home alone atunukiwa tuzo ya heshima
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Marekani Macaulay Culkin aliyetamba na filamu ya Home Alone ametunukiwa nyota ya heshima ya Hollywood Walk of Fame jijini Los Angeles.Macaulay ...
02
Bibi harusi mtarajiwa aliyefariki ajalini kuzikwa leo
Amani Mollel, ambaye alikuwa ni bwana harusi mtarajiwa wa Rehema Chao, (wa kwanza kulia), akiwa amebeba msalaba wa mpendwa wake aliyefariki ajalini wailayani Mwanga, Mkoani Ki...
02
Lil Wayne awekwa kikaangoni na aliyekuwa mlinzi wake
Mlinzi wa zamani wa nyumbani kwa ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Lil Wayne, aitwaye Christian amefungua mashitaka dhidi ya ‘rapa’ huyo baada ya kumfyatul...
02
Mlinzi anayetuhumiwa kufanya mapenzi na maiti akamatwa
Mwanaume mmoja kutoka nchini Marekani aitwaye Randall Bird ambaye ni mlinzi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Phoenix, KPHO aliyetuhumiwa kufanya mapenzi ...
02
Jinsi ya kurudisha namba za simu ulizopigiwa
Ikiwa una tatizo la kusahau 'kusevu' namba za simu ulizopigiwa, kisha unapata shida kuzipata fuata njia hii ili kuzirudisha utakapozihitaji.Ingia play store kisha pajua app ii...
01
Baba mzazi wa Bacca atua Dar kumshuhudia mwanaye
Baba mzazi wa mchezaji wa ‘Klabu’ ya Yanga, Ibrahim Bacca mzee Abdallah Hamad tayari amewasili Dar es salaam akitokea kisiwani Zanzibar kwa ajili ya kuishuhudia &l...
01
Unamkomesha vipi mtu anayechungulia sms zako kwenye daladala
Kila binadamu ana siri zake ambazo hapendi watu wengine wazifahamu, lakini kumekuwa na baadhi ya watu waliogeuka kero kwenye usafiri wa umma (daladala) kwa kuwa na tabia ya ku...
01
Zuchu na Harmonize wakimbiza 2023
Wanamuziki wa bongo fleva Zuchu na Harmonize ndiyo wasanii waliosikilizwa zaidi mwaka 2023 katika mtandao wa kuuza na kusikiliza muziki wa #Boomplaytz, kutoka Novemba 2022 had...
01
Onana matatani kupoteza nafasi kikosi cha kwanza
Mlinda mlango wa ‘klabu’ ya Manchester United, Andre Onana anachungulia tundu la sindano kwa kuhofia kupoteza nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza ‘klabuni&r...
01
Davido atoa siri ya kuachi ngoma kali
Mwimbaji anayeupiga mwingi katika Afrobeat Davido, ametoa siri na kufunguka njia anayoitumia kutengeneza muziki mzuri unaokuwa-hit duniani.Davido kupitia ukurasa wake wa X (Tw...
01
Kizz Daniel ajizawadia ndinga
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Kizz Daniel amejipongeza kwa kujinunulia gari aina ya ‘Rolls Royce Cullinan’ akisheherekea kutimiza miaka 10 katika muziki.Msanii...
01
Aliyepigwa na Mike Tyson adai fidia
Mwanamume mmoja kutoka nchini Marekani aitwaye Melvin Townsend ambaye alipokea kichapo kutoka mkali wa ngumu Mike Tyson ndani ya ndege, amefunguma mashitaka ya kudai fidia ya ...

Latest Post