07
Cardi B adai kufunguka kuhusu maisha yake na Offset 2024
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #CardiB adai kufunguka kuhusu maisha yake ifikapo mwaka 2024, baada yeye na mumewe Offset kutofautiana na kufutiana urafiki Instagra...
07
Kocha wa Nottingham akalia kuti kavu
‘Klabu’ ya #NottinghamForest inadaiwa kuwa ipo mbioni kumfuta kazi mwalimu #SteveCooper kufuatia kipigo cha magoli 5-0 dhidi ya timu ya #Fulham kwenye mchezo wa Li...
07
Diddy tena kwenye tuhuma za ubakaji
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #PDiddy na wenzake wawili wamefunguliwa mashitaka mapya jana siku ya Jumatano, kwa madai ya kumbaka binti wa miaka 17. Jarida la Rolling St...
06
Talaka yafanya Angelina aache kuigiza
Muigizaji kutoka nchini Marekani, #AngelinaJolie ameeleza kuacha kuigiza kwa sababu ya mzozo wa talaka kati yake na aliyekuwa mumewe Brad Pitt. Mwigizaji huyu mwenye umri wa m...
06
Quavo azindua kitabu cha mapishi
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #Quavo ametambulisha kitabu chake cha Mapishi kinachoitwa ‘Huncho Farms’ kilichowasilishwa na taasisi yake mpya ya #Quav...
06
Wanayokutana nayo wapangaji kwenye nyumba za kupanga
Asilimia kubwa ya wakazi wa jiji la Dar es salaam wanaishi kwenye nyumba za kupanga, lakini baadhi yao wamekuwa wakikutana na vioja mbalimbali kwenye nyumba hizo au kwa wenyen...
06
Daktari adaiwa kumuua mama na kumkuiba mtoto
Daktari kutoka nchini Nigeria aitwaye  #DkHagi anashikiliwa na jeshi la polisi kwa  tuhuma za mauaji ya  mwanamke aliyekuwa  mjamzito baada ya kumfanyia up...
06
Offset agawa nguo na Internet bure
Mwanamuziki kutoka nchini #Marekani, #Offset ameweka heshima nyumbani kwao Atlanta baada ya kushirikiana na mfuko wa Ann Cephus kwa kuwapatia maelfu ya watu vitu ikiwemo nguo ...
06
Mlinda mlango wa Barcelona kufanyiwa upasuaji
‘Goli kipa’ wa ‘klabu’ ya #Barcelona, #MarcStegen anadaiwa kutoonekana kikosini kwa takribani miezi miwili, kwani anatarajia kufanyiwa upasuaji wa jera...
05
Denis Nkane na wengine wawili kuikosa mechi ya ijumaa
Wachezaji watatu wa ‘klabu’ ya #Yanga wameachwa kwenda katika mchezo wa #CAFCL dhidi ya ‘klabu’ ya #MadeamaSC utakaochezwa nchini Ghana siku ya Ijumaa....
05
Wachezaji wa Man United hawana imani na Kocha
Inadaiwa kuwa nusu ya wachezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, wamepoteza imani na ‘kocha’ wao Erik ten Hag, huku wachezaji wakihoji ufundishaji wake...
05
Wakali wa kutupia ligi kuu bara
Baadhi ya mastaa wa soka wanapenda maisha ya bata nje ya uwanja, kununua ndinga kali, nyumba, na mambo mengine pia wapo wanaopenda kuvaa na kupendeza. Hawa hapa mastaa kumi wa...
05
Asusia interview baada mtangazaji kutojua njimbo zake
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Blueface ameamua kuondoka kwenye interview na #FunyyMarco baada ya mtangazaji kushindwa kutaja nyimbo zake tatu. Blueface aliondoka s...
05
Washika rekodi ya wanandoa mwenye tatoo nyingi
Wachora tattoo maarufu nchini Marekani Victor Hugo Peralta na mkewe Gabriela Peralta maarufu kama “cherubs of hell” wameendelea kushika rekodi ya wanandoa wenye ta...

Latest Post