Ushirikiano huu unakuja baada ya historia ya ushirikiano wa Marley na Adidas, ikiwa ni pamoja na mwanamuziki huyo hapo awali alikuwa akipendelea kuvalia bidhaa za chapa hiyo.
Sneakers, hizo zinajumuisha picha na saini ya Bob Marley, zitakuwa sehemu ya bidhaa za Adidas ambapo zinatarajiwa kuingia sokoni majira ya joto 2024.

Ikumbukwe kuwa Marehemu Bob Marley alifariki katika Hospitali ya Jackson Memorial, Miami, Marekani Mei 11, mwaka 1981 akiwa na umri wa miaka 36 baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani kwa muda mrefu.
Leave a Reply