05
Offset na Cardi B wafuta urafiki
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Offset na mkewe Cardi B wamezua gumzo mitandaoni baada ya wawili hao kufuta urafiki kwenye mtandao wa Instagram. Baadhi ya mashabiki ...
05
Polisi watoa ripoti ajali aliyopata Michael B. Jordan
Kufuatia ajali ya gari aliyopata muigizaji Michael B. Jordan, weekend iliyopita sasa polisi wametoa ripoti kuhusiana na maendeleo ya muigizaji huyo na kueleza kuwa yupo salama...
04
Faini yamnyemelea Haaland kwa kumkashifu muamuzi
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterCity, #ErlingHaaland, huenda akapigwa faini na FA baada ya kumkashifu muamuzi #SimonHooper kufuatia sare ya 3-3 dhidi ya ‘k...
04
Chidi adai kutopata kitu baada ya kufanya ngoma na Diamond
Mwanamuziki wa Hip-hop nchini, #ChidiBenz amefungukua na kudai kuwa hakupata kitu baada ya #DiamondPlatnumz kuingiza mstari kwenye wimbo wake mpya uitwao ‘Tunaishi nao&r...
04
Mvulana aitaka Apple ibadili emoji iliyovaa miwani kama yake
Mvulana mwenye umri wa miaka kumi aitwaye Teddy kutoka Peppard, Oxfordshire, ametuma ombi kwa kampuni ya Apple akiitaka kubadili emoji iliyovaa miwani inayofanana na yake aina...
04
Meli kubwa zaidi duniani kuanza safari mwezi ujao
Meli kubwa zaidi duniani ya kitalii iitwayo "Icon of the Seas" inatarajia kuanza safari Januari 27, 2024, kutoka PortMiami nchini Marekani, na itaanza kwa ziara ya siku saba y...
04
Mwana FA: Kung’oa viti uwanjani ni uhuni kama uhuni mwingine
Naibu Waziri, Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma amesema kuwa kung’oa viti uwanjani ni uhuni kama uhuni mwingine na wanaofanya uharibifu huo watach...
04
Ahmed Ally: Wydad ni mnyama aliyesinzia
Afisa Habari na Mawasiliano wa ‘klabu’ ya #SimbaSC, #AhmedAlly amedai kuwa ‘klabu’ ya #Wydad ni mnyama mkali aliyesinzia hivyo wanatakiwa kujiandaa kuk...
03
Scholes awachana mastaa Man United
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited,  #PaulScholes amesema kuwa wachezaji wengi wa ‘timu’ hiyo ni wavivu na viwango vyao ni vya chi...
03
Jezi ya Yanga yapepea kwenye video ya AFCON
‘Jezi’ ya ‘klabu’ ya #Yanga imetumika kwenye video ya promo ya michuano ijayo ya mataifa ya Afrika #AFCON, inayotarajiwa kufanyika nchini Ivory Coast k...
03
Wasimamishwa kazi kwa tuhuma za kutumia dripu kusherehekea birthday
Watumishi watatu wa Hospitali binafsi ya Sakamu iliyopo mkoani Geita wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi kufuatia video inayosam...
03
FIFA waondoa adhabu ya Simba
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeiondolea ‘klabu’ ya #Simba adhabu ya kufungiwa kusajili wachezaji baada ya kuilipa ‘klabu’ ya #Teu...
03
Rhino King wa The Mafik ahamia kwenye Injili
Aliyekuwa msanii wa kundi la The Mafik #RhinoKing ametangaza kuacha kuimba nyimbo za kidunia na kuhamia kwenye  injili. Msanii huyo ameyasema hayo leo kwenye uzinduzi wa ...
03
Msigwa: Nimechoka kukaa na pesa za mama
Katibu Mkuu wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amedai kuwa amechoka kukaa na pesa za Mhe. Rais Samia Suluhu ambazo ametoa kama zawadi kwa ajili ya ‘klabu&rsqu...

Latest Post