29
Refa wa Mauritania kuzihukumu Al ahly na Yanga
Abdel Aziz Mohamed Bouh kutoka Mauritania, ndiye refa aliyepangwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuchezesha mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ...
29
Baraka: Nimechoka kuonekana mbaya, Nafanyiwa figisu
Msanii wa bongo fleva Barakah The Prince ameendelea kuuwasha moto kupitia mitandaa ya kijamii na leo amedai kuwa ataweka wazi figisu zote alizowahi kufanyiwa toka mwaka 2016. ...
29
Khaligraph amtaka 50 Cent atue Kenya
 Kufuatiwa na post ya ‘rapa’ kutoka nchini Marekani 50 Cent kuuliza mashabiki ni sehemu gani aanze kwenda ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya ‘Final La...
29
The Mafik warudi tena, Waanza na Mungu
Baada ya ukimya wa miaka minne, hatimaye kundi la muziki The Mafik limerejea rasmi likiwa na wasanii wanne huku watatu wakiwa wapya na msanii #Hamadai pekee ndiye msanii wa za...
29
Noah awakalisha Burna Boy, Davido na Tiwa Savage kwenye o2 arena
Mchekeshaji na muandishi wa habari kutoka Afrika Kusini Trevor Noah ameendelea kuupiga mwingi baada ya kuwavutia wengi kupitia mitandao ya kijamii kwa kujaza mashabiki katika ...
29
Jada asisitiza kutoachana na Smith
Aliyekuwa mke wa muigizaji Will Smith, Jada amesema kuwa yeye na Will wataishia kutengana na siyo kuachana. Kufuatia mahojiano yake na Drew Barrymore siku ya jana Jumanne mwan...
29
Christian Bella afunguka alivyokata tamaa, Kurudi Congo
Mwanamuziki #ChristianBella amesema kuna wakati alitaka kukata tamaa na kutaka kurejea nchini Congo baada ya mambo yake kuwa magumu Tanzania. Msanii huyu ameeleza kuwa mwanzon...
29
Mambo magumu kwa rapa Aiddy, Abwaga manyanga
Kufuatiwa na tuhuma za unyanyasaji wa kingono zinazo mkabili mwanamuziki Diddy, sasa msanii huyo amejiuzulu cheo chake cha uwenyekiti katika kampuni ya KEVOLT. Kulingana na ta...
29
Naira marley na Sam waonekana mtaani, Baada ya kuachiwa huru
Ikiwa zimepita wiki mbili tangu msanii Naira Marley na ‘promota’ Sam Larry kuachiwa huru baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya Naira milioni 20 ambayo ni zaidi ...
28
Korede Bello na Don Jazz waingia studio kwa mara nyingine
Baada ya kutamba katika ngoma zao kadhaa ikiwemo ‘Godwin’ na ‘Mungo Park’ hatimaye wanamuziki kutoka nchini Nigeria Korede Bello na Don Jazzy wameingia...
28
Kocha mpya Simba atinga na mambo matano
Kama tunavyojua ‘Klabu’ ya Simba kwa sasa bado haina furaha baada ya juzi kuendeleza ilipoishia kwa kuanza kinyonge Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi ikilaz...
28
Abiria atumia mlango wa dharura kujirusha, Kabla ndege haijatua
Mwanaume mmoja aliyekuwa abiria ndega ya shirika la Southwest mwenye umri wa miakia 38 amepelekwa hospitali kufanyiwa matibabu baada ya kuruku kwa kupitia mlango wa dharura wa...
28
Kanye West ataka kununua mkataba wa Lil Durk
Msanii wa muziki kutoka nchini Marekani, #KanyeWest inadaiwa kuwa anataka kununua mkataba wa #LilDurk baada ya onesho la pamoja walilofanya nchini Dubai. Inaelezwa kuwa Kanye ...
28
Teni aeleza sababu ya kupungua uzito
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na mwanamuziki wa kike kutoka nchini Nigeria Teni, kuwa amefanya surgery ya kupunguza tumbo, mwanadada huyo amekanusha uvumi huo kwa kueleza k...

Latest Post