28
Ifikapo 2024, Marufuku kutumia Vipes
Serikali nchini #Australia inadaiwa kuwa na mpango wa kupiga marufuku uingizaji  na utumiaji wa #Vipes ifikapo Januari 2024, ikiwa ni sheria mpya za kukomesha ‘vape...
28
Bwana harusi aua mama mkwe, Shemeji na Bibi harusi ukumbini
Askari wa zamani na mwanariadha nchini Thailand, Chaturong Suksuk mwenye umri wa miaka 29 amewaua watu wanne kwa kuwapiga risasi akiwemo mke wake mwenye umri wa miaka 44 aliye...
28
50 Cent kutua Africa
Ikiwa ni muendelezo wa ziara ya ‘rapa’ kutoka nchini Marekani 50 Cent, ya ‘Final Lap Tour’ sasa anafikiria kutua Africa muda wowote kwa ajili ya show. ...
28
Cr7 akataa ‘penati’ ya mchongo
Mchezaji wa 'klabu’ ya Al Nassr, #CristianoRonaldo amekataa ‘penati’ aliyokuwa amepewa na refa kwenye mchezo wa ‘klabu’ bingwa bara la #Asia siku...
27
Busta: Burna Boy anajua anachokifanya kwenye muziki
‘Rapa’ kutoka nchini #Marekani, #BustaRhymes amesema kufanya kazi na msanii kutoka Nigeria, #BurnaBoy umekuwa ni wakati bora katika maisha yake ya muziki. Aidha mk...
27
Hatari tatu za kudanganya majina katika kitabu cha guest house
Kumekuwa na tabia baadhi ya watu wanakwepa kutoa taarifa zao sahihi pindi waendapo kupumzika kwenye nyumba za kulala wageni (Guest House), tena wapo ambao kudanganya taarifa z...
27
Simba yaanza ukurasa mpya
Afisa Habari wa ‘klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly amewataka mashabiki waongeze imani kwa ‘timu’ hiyo licha ya kupata matokea yasiyoridhisha  hivi kari...
27
Diarra awashusha presha mashabiki, Aitabiria ushindi Yanga
Kikosi cha ‘klabu’ ya #Yanga kimerejea jijini Dar es Salaam alfajiri ya jana na moja kwa moja kwenda kambini kujiandaa na ‘mechi’ ijayo ya Kundi D ya L...
27
Kumbe Messi hajamsaliti mkewe
Familia na watu wakaribu wa mchezaji wa ‘klabu’ ya #InterMiami #LionelMessi, wamekanusha vikali taarifa inayodaiwa kuwa mchezaji huyo amemsaliti mke wake #Antonela...
27
Rais wa TFF akanusha kumuita samatta timu ya Taifa
Rais wa TFF, #WallaceKaria akanusha kumchagua #Samatta kuwa katika kikosi cha Taifa Stars, baada ya kuwepo kwa tetesi zinazodai Rais huyo kamchagua mchezaji huyo kuwepo katika...
27
Haikuwa show, Ni watu nje ya hotel aliyokuwa amelala MJ
Hawa si watu waliojitokeza kwenye show, bali video hii ya miaka mingi iliyopita inaonesha watu wakiwa wamejaa nje ya chumba cha hotel alichokuwa amelala mfalme wa pop Michael ...
27
Kim Kardashian ageukia kwenye uchekeshaji
Mfanyabiashara kutoka nchini #Marekani, #KimKardashian anatarajia kuonekana katika filamu za vichekesho (Komedi) baada ya kupendezwa na uigizaji huo. Mwanadada huyo mwenye umr...
26
Idris: usiogope kusema malipo unayostahili, kwa kuhofia kukosa kazi
Muigizaji Idris Sultan ametoa ushauri kwa wanaoogopa kutaja kiwango cha malipo ya mshahara kwa kuogopa kukosa kazi.Idris amesema k...
26
Je unadhani ni sahihi kwa mzazi au mlezi kumbusu mtoto mdomoni
Imekuwa kawaida ya wazazi au walezi kutafuta njia mbalimbali za kuwafurahisha watoto na kuwafanya wanyamaze pindi wanapolia, tukiachana na michezo ya watoto ambayo imetengenez...

Latest Post