13
Ziara ya Taylor yaongoza kwenye maokoto
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #TaylorSwift kwa sasa ndiye anayepata pesa nyingi katika show za muziki ambapo ziara yake ‘The Eras Tour’ imeingia kwenye Kitabu...
13
Meek Miil: Wasanii wanaandika nyimbo wakiwa na mizuka
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #MeekMill amesema wasanii wanapokuwa studio huandaa nyimbo zao kwa vibe, ni baada ya kutokubaliana na ushahidi wa mistari ya nyimbo z...
13
Nyota wa Brookly nine–nine afariki dunia
Muigizaji maarufu kutoka nchini #Marekani, #AndreBraugher amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 61 baada ya kuugua kwa muda mfupi. Braugher aliwahi kuigiza tamthilia na filam...
13
Tiwa Sagave kununua ndege binasfi
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage ameweka wazi kuwa anataka kununua ndege binafsi. #Tiwa amelithibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kueleza kuwa ni...
13
Megan apata shavu Warner Music
Ni mwezi mmoja umepita tangu ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Megan Thee Stallion kutemana na ‘lebo’ yake ya zamani ya ‘1501 Certified Entertainment...
13
Nchi kumi zenye maisha bora kwa 2023
Katika kumaaliza mwaka U.S. News imetoa ripoti ya nchi zilizo na maisha bora zaidi kwa mwaka 2023, kwa kuangalia vigezo vya usalama wa huduma ya afya, uthabiti wa kiuchumi na ...
13
Mwandishi adaiwa kujiua kwa kujitoa muhanga
Mwandishi wa habari kutoka nchini Marekani Emily Matson, anadaiwa kujiua kwa kujirusha kwenye  treni siku ya Jumatatu asubuhi katika kitongoji cha Fairview alipokuwa akii...
12
Beki wa zamani wa Juvetus astaafu soka
Beki wa zamani wa ‘klabu ya #Juventus na ‘timu’ ya Taifa ya #Italia, #GiorgioChiellini ametangaza kustaafu ‘soka’ la kulipwa akiwa na umri wa mia...
12
Lupita Nyong’o kuongoza Baraza la Majaji
Muigizaji Lupita Nyong’o anatarajiwa kuongoza Baraza la Majaji katika tamasha la Kimataifa la filamu la Berlinale mwezi Februari mwaka 2024. Kupitia ukurasa wa Instagram...
12
Maambukizi ya VVU yaongezeka, Mara
Kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi mkoani Mara kimeongezeka kutoka asilimia 3.6 miaka mitano iliyopita hadi kufika asilimia 5 mwaka jana. Hali hiyo inatokana na sabab...
12
Kumbukumbu ya Zahara kwenye mapenzi yake kwa muziki
Siku zote mshumaa ukizimika huacha giza, ndicho kilichotokea kwa wadau na mashabiki wa burudani mwishoni mwa mwaka 2023, licha ya kuwa wapo wasanii wengi chipukizi waliojitoke...
12
Ice ashika namba mbili Google
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #IceSpice ameshika nafasi ya pili kuwa mwanamuziki aliye fuatiliwa sana na kutafutwa kupitia Google kwa mwaka 2023 nchini humo. Goog...
12
Kanye West amsogeza mwanaye kwenye muziki
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #KanyeWest amemtambulisha rasmi mtoto wake #NorthWest katika ulimwengu wa muziki kwa kumshirikisha kwenye Album yake mpya ya ‘Vultere...
12
Pink Friday 2 tour kuanza machi
Baada ya kuachia album yake ya ‘Pink Friday 2’ na kufanya vizuri nchini Marekani na duniani kote, sasa ‘rapa’ Nicki Minaj ameachia mkeka rasmi wa sehem...

Latest Post