Awapa mapacha wake majina wa wachezaji wa Arsenal

Awapa mapacha wake majina wa wachezaji wa Arsenal

Mwanamke mmoja kutoka nchini Kenya aitwaye Epakan Ekaale, amewapa watoto wake mapacha watatu majina ya nyota watatu wa mpira wa miguu wanaokipiga Ligi kuu England katika ‘timu’ ya Arsenal.

Mwanamke huyo ameeleza kuwa amefanya hivyo kufuatiwa na mapenzi aliyonayo kwa ‘timu’ ya Arsenal pia kama heshima kwa mashabiki wa Arsenal huko Turkana.



Watoto walitambulishwa kwa majina Gabriel Martinelli, Gabriel Jesus na Gabriel Magalhaes, hata hivyo mashabiki kutoka akaunti ya Turkana walipeleka zawadi zao kwa mama huyo kwa ajili ya kumuunga mkono.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post