13
Arsenal, Calafiori ni suala la muda tu
Imeripotiwa kuwa, Arsenal inakaribia kufikia makubaliano ya kumnunua beki wa Italia na Klabu ya Bologna, Riccardo Calafiori. Aidha inaelezwa kuwa, Bologna imeweka dau la pauni...
08
Arsenal, Man United zapigana vikumbo kwa Brahim Diaz
Imefahamika kuwa ‘klabu’ za Arsenal na Manchester United zipo katika vita kali ya kumwania mshambuliaji wa mabingwa wa ‘soka’ nchini Hispania, Real Mad...
07
Ten Hag hajapoteza matumaini na Man United
Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amesema bado anataka kuendelea kupambana kuhakikisha anakuwa kocha wa timu hiyo msimu ujao pamoja na kupata matokeo mabaya. United ili...
05
Pep aipa Arsenal ubingwa
Imeripotiwa kuwa kocha wa klabu ya #ManchesterCity, #PepGuardiola amesisitiza kuwa klabu ya #Arsenal ina nafasi kubwaya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu ikiwa wa...
18
Man City na Arsenal waachwa kwenye mataa
‘Ligi’ kuu #Uingereza haitakuwa na ‘timu’ kwenye hatua ya nusu fainali za ‘ligi’ ya mabingwa #Ulaya baada ya ‘klabu’ kubwa mbil...
11
Arsenal, Chelsea kuisaka saini ya Toney
‘Klabu’ ya #Arsenal na #Chelsea zimeripotiwa kuisaka saini ya mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #Brentford na ‘timu’ ya Taifa ya #Uingereza, #Ivan...
05
Song aonesha jezi alizopewa
Nyota wa zamani wa Arsenal, Barcelona, West Ham United na Cameroon, Alexandre Song ame-share video kwenye ukurasa wake wa Instagram akionesha ‘jezi’ alizobadilisha...
05
Awapa mapacha wake majina wa wachezaji wa Arsenal
Mwanamke mmoja kutoka nchini Kenya aitwaye Epakan Ekaale, amewapa watoto wake mapacha watatu majina ya nyota watatu wa mpira wa miguu wanaokipiga Ligi kuu England katika &lsqu...
29
Shabiki amwaga machozi baada ya Arsenal kupokea kipigo
Kijana mmoja ambaye ni shabiki wa Arsenal ameonekana akimwaga machozi kutokana na ‘klabu’ anayoshabikia kuchapwa na #WesthamUnited bao 2-0, huku ikiwa ni mara ya k...
25
Promota wa ndondi ajaribu kumshawishi Cr7 kwenda Arsenal
Promoter wa ndondi kutoka nchini #Uingereza, #FrankWarren amejaribu kumshawishi mchezaji wa #Alnassr, #CristianoRonaldo kwenda katika ‘klabu’ ya #Arsenal.Inaelezwa...
20
Mshambuliaji wa Arsenal aguswa na wahanga wa tetemeko
Mshambuliaji wa ‘klabu’ ya  #Arsenal na ‘timu’ ya taifa ya #England, #BukayoSaka, ametoa vyumba 50 vya ‘kontena’ kusaidia walioathiriw...
21
Shabiki wa Yanga na bango la 5g kwenye uwanja wa Arsenal
Shabiki wa ‘Klabu’ ya Yanga anayefahamika kwa jina la Maalim Nash ameendelea kusimika mabango ya 5G katika viwanja vikubwa mbalimbali vilivyopo nchini Marekani.Kup...
11
Naye Saka kukosa mechi mbili za Kitaifa
Mchezaji wa #Arsenal, Bukayo Saka inadaiwa kuwa amejiondoa kwenye kikosi cha ‘timu’ ya taifa ya nchini England kinachojiandaa na ‘mechi’ dhidi ya Austr...
10
Nicolas amalizana na Arsenal
‘Klabu’ ya Arsenal imethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na aliyekuwa mchezaji wao Nicolas Pepe ambaye walimsajili kwa dau la pauni milioni 72 kutok...

Latest Post