21
Alicho sema Shetta baada ya mtoto wake kushinda
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Shetta ameweka wazi kuwa mtoto wake #Qayllah ambaye jana amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi CCM Taifa hakupata uongozi huo ghafla, alianza ...
21
Kanye ajipanga kujenga mji wake
‘Rapa’ kutoka nchini #Marekani #KanyeWest anatarajia kujenga mji wake Mashariki ya Kati katika eneo lenye ukubwa wa ekari 100,000, ambapo utakuwa mji mkubwa zaidi ...
20
Mshambuliaji wa Arsenal aguswa na wahanga wa tetemeko
Mshambuliaji wa ‘klabu’ ya  #Arsenal na ‘timu’ ya taifa ya #England, #BukayoSaka, ametoa vyumba 50 vya ‘kontena’ kusaidia walioathiriw...
20
Will Paul awatolea uvivu mashabiki
Mwanamuziki kutoka nchini #Kenya, #WillPaul amewatolea uvivu mashabiki nchini humo akidai kuwa ‘hawasapoti’ wasanii wao. Ameyasema hayo baada ya mashabiki kutaka a...
20
Rihanna: Natamani kupata watoto zaidi na ASAP Rocky
Mwanamuziki kutoka nchini #Marekani, #Rihanna amesema anatamani na yuko tayari kupata watoto wengi zaidi na mpenzi wake #ASAPRocky licha ya kuwa na watoto wawili. #Rihanna ame...
20
Mjengo wa Kanye uko sokoni
Ikiwa ni miaka miwili imepita tangu ‘rapa’ Kanye West kutoka nchini Marekani kununua nyumba iliyopo ufukweni jijini Califonia, sasa imeripotiwa kuwa nyumba hiyo ik...
20
Siku kama ya leo ilikuwa shangwe kwa Trump na Adolf Hitler
Kwenye historia tarehe kama ya leo Disemba 20, 1993 aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump alifunga ndoa na Marla Maples. Hata hivyo mwaka 2005 ndoa yao ilivunjika wakiwa wam...
19
Onana akiri kiwango chake kushuka
Kipa wa Manchester United, Andre Onana amekiri kiwango chake kimeshuka tangu alipotua Old Trafford, lakini amewatoa hofu mashabiki kwa kueleza kuwa soon mambo yatakuwa sawa. K...
19
Messi kukutana na klabu yake ya utotoni
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #InterMiami, #LionelMessi anatarajiwa kukutana na ‘klabu’ yake ya utotoni, #Newell’sold Boys ya #Argentine, katika ‘...
19
Teni alipwa zaidi ya 170 milioni kutumbuiza kwenye harusi
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Teni adaiwa kulipwa zaidi ya milioni 170 kutumbuiza katika harusi ya mtoto wa bilionea Beninoise, Haija Rissi Razaq Igue. Kwa mujibu wa Legit...
19
Shangwe la bibi yake Burna Boy baada ya kupewa zawadi
Tazama shangwe la bibi yake Burna Boy mzaa mama baada ya kupewa zawadi ya pochi ya thamani aina ya ‘Birkin bags’.  Tukio hili limeibua hisia nyingi kupitia mi...
19
Aliyeshikilia rekodi ya kuwa na kucha ndefu afariki
Mwanamama kutoka nchini Marekani aliyefahamika kwa jina la Lee Redmond ambaye alikuwa akishikilia rekodi ya Guinness World Records kwa kuwa na kucha ndefu zaidi afariki dunia....
19
Ada ya mtoto yamtokea puani muigizaji wa Family matters
Muigizaji kutoka nchini #Marekani, #DariusMcCrary amekamatwa na polisi na kuswekwa rumande kwa kushindwa kulipa ada ya mtoto wake shuleni. Nyota huyo wa #FamilyMatters mwenye ...
19
Matatizo ya misuli yamtesa Celine Dion
Dada wa mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani Celine Dion, Claudette Dion ametoa taarifa mpya kuhusiana maendeleo ya mwanamuziki huyo kwa kuweka wazi kuwa kwa sasa Celine...

Latest Post