28
Rick Ross apiga tizi kwa ajili ya kupanda mlima Kilimanjaro
Mkali wa hip-hop kutoka nchini Marekani Rick Ross ameendela kufanya 'tizi' kwa ajili ya kupanda mlima Kilimanjaro mwaka 2024. Rick amekuwa akifanya mazoezi ya kupungua mwili n...
28
Movie zilizomkosha Obama 2023
Kama ilivyo kawaida kwa watu maarufu, mwisho wa mwaka kuachia list ya ngoma, vitabu na filamu zilizowakosha kwa mwaka huo, aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama ameachia mke...
28
Muanzilishi wa kampuni ya bunduki afariki
Aliyekuwa mfanyabiashara na muanzilishi wa kampuni ya utengenezaji wa bunduki mwenye umri wa miaka 94 kutoka nchini #Austria, Gaston Glock amefariki dunia jana Jumatano, Disem...
27
Sonja adai kuwa kwenye mahusiano na mti
Mwanamke mmoja kutoka nchini Canada aitwaye Sonja mwenye umri wa miaka 45 amesema kuwa yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mti huo pichani na huwa anapata hisia za kimapenzi...
27
Amkata mumewe sehemu za siri na kuzitupa chooni
Mwanamke mmoja kutoka nchini Brazil mwenye umri wa miaka 34 ambaye hajafahamika jina amejisalimisha kwa polisi Disemba 22 na kukiri kukata sehemu za siri za mumewe na kuzitupa...
27
Mastaa na mitupio ya mavazi mwaka 2023
Leo katika Fashion tumekusogezea  baadhi ya wasanii waliotokelezea katika upande wa mavazi na wale ambao waliwashangaza watu kwa mitindo ya mavazi yaani walitoa booko hah...
27
Sikukuu bila pilau inawezekana, Pika hivi kufurahisha uwapendao
Kama ilivyo kawaida yetu @Mwananchiscoop hatulazi damu, wiki hii katika biashara tunakusogezea mada ambayo haina mambo mengi kabisa kuhusiana na vyakula simple unavyotakiwa ku...
27
Hali ya bishara za nguo msimu huu wa sikukuu
Kama tunavyojua ni mwisho wa mwaka na kuna sikukuu kadhaa hapo mbele, ambapo watu wengi hujumuika pamoja kula, kunywa na kuvaa nguo mpya, kama ilivyo ada MwananchiScoop tumeam...
27
Nchi zenye mabilionea wengi mwaka 2023
Jarida la Forbes limetoa orodha ya mabilionea 2,640 duniani kwa mwaka 2023 ambao utajiri wao unawakilisha takribani dola 12.5 trilioni. Katika orodha hiyo Marekani imeongoza k...
27
Makabila ashusha mkeka wasanii wasio na matatizo
Mwanamuziki wa singeli nchini Dulla Makabila amedondosha list ya wasanii watano ambao hawana matatizo na mtu yeyote. Makabila kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share picha...
27
Kuwa na mwandiko mbaya ni ulemavu
Dysgraphia ni ugonjwa wa neva za binadamu kupata shida kugeuza mawazo yake kuwa katika maumbo mazuri ya kiuandishi ambayo wengi huita mwandiko mbaya. Wataalamu wanatafsiri hal...
27
Hawa ndiyo wasanii walionyakua tuzo nyingi mwaka 2023
Ikiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2023, wapo baadhi ya wasanii ambao wanatamani mwaka huu uishe ili wajaribu tena mwakani lakini wapo waliobahatika kuandika historia  kwen...
27
Roboti yamshambulia muhandisi
Mhandisi wa programu wa #Tesla kutoka nchini Marekani mbaye jina lake halijawekwa wazi amepata majeraha mkononi na mgongoni baada ya kushambuliwa na ‘roboti’ kweny...
27
Cr7 anaongoza kwa mabao 2023
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #Alnassr #CristianoRonaldo anaongoza kuwa na mabao mengi kwa mwaka 2023, akiwa na umri wa miaka 38 Inaelezwa kuwa nyota huyo wa soka amefung...

Latest Post