03
Unafahamu kazi ya kitanzi kilichopo nyuma ya shati
Wakati wa kununua nguo watu wengi hutazama ubora na rangi, wachache huchunguza kila kona ya nguo na kujua umuhimu wake. Kama nimfuatiliaji basi utakuwa umewahi kuona kishikizo...
03
Maajabu ya ulimi wa Simba
Moja kati ya viungo muhimu kwenye mwili wa mnyama Simba ni ulimi wake ambao anautumia kwa namna nyingi, ulimi huo humrahisishia mambo mengi ambayo humuwezesha kuendelea kuishi...
03
Figo, Ini sababu kifo cha ex wa muigizaji Forest
Mke wa zamani wa muigizaji kutoka nchini Marekani Forest Whitaker, Keisha Nash Whitaker, alifariki kutokana na ugonjwa wa ini baada ya kuugua kwa miaka mingi. Kwa mujibu wa Tm...
03
Hekaheka za Kanye kumpangia mkewe mavazi ya kuvaa
Rapper kutoka nchini Marekani #KanyeWest ametangaza kuwa mkewe #BiancaCensori atavaa nguo chache zaidi mwaka huu, hii ni baada ya kusambaza kwa picha kadhaa za mkewe akiwa ame...
03
Rapa 6ix9ine ajengewa sanamu Cuba
Zikiwa zimepita siku saba tangu kuzinduliwa sanamu ya mwanamuziki kutoka Colombia Shakira, shabiki wa ‘rapa’ 6ix9ine kutoka nchini Cuba naye ameamua kuonesha mapen...
02
Hali ya biashara za furniture mwisho wa mwaka
Hey hey! watu wangu wa nguvu, mwaka ndiyo huo unatuaga na leo kwenye biashara tupo na jambo ambalo familia nyingi ni ngumu kulifanya mpaka pale watakapoona kitu kimevunjika au...
02
Zoran anatamba Al Hilal
Aliyewahi kuwa ‘kocha’ wa ‘klabu’ ya #SimbaSC, Zoran Manojlovic ‘Maki’ ameteuliwa kuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘Klabu’ ya A...
02
Huenda mbappe akakipiga timu moja na Mo Salah
Inadaiwa kuwa ‘Klabu’ ya #Liverpool huenda ikaibuka kidedea katika kuwania saini ya mchezaji kutoka ‘timu’ ya #PSG ya Ufaransa Kylian Mbappé. Kw...
02
Aliyekosa nafasi ya urais 2022 achomwa kisu
Kiongozi wa Upinzani nchini Korea Kusini amechomwa kisu katika mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika katika mji wa Busan nchini humo. Taarifa iliyotolewa na Shirika ...
02
Haya ndiyo yatakufanya utoboe kimaisha 2024
 Najua wiki hii siyo ya kuongelea kazi lakini sina budi kuwajuza jambo hili dogo kabisa ambalo halitawachosha kabisa,  leo katika kazi tutazungumzia suala la malengo...
02
Mastaa waliotumia mitandao ya kijamii 2023 kujipatia maokoto
Achana na wale wa ‘kufeki’ mambo wanaotumia pesa nyingi kwa ajili ya kununua ‘maroboti’ kwenye mitandao ya kuuzia  muziki ili kazi zao zionekane z...
02
Watu 48 wafariki kwa tetemeko la ardhi
Tetemeko la ardhi nchini Japani limesababisha vifo vya watu taribani 48 na kufanya uharibifu katika sehehemu mbalimbali nchini humo. Inaelezwa kuwa tetemeko hilo lilianza siku...
02
Pamba kali za kutupia ukiwa vacation
Mambo vipi, najua mko poa watu wangu wa Fashion kama kawaida tunakutana tena hapahapa katika magazine yetu ya Mwananchi Scoop kujuzana yanayojiri kwenye fashion. Leo tumekusog...
02
Rushaynah hana mpango wa kuolewa kwa sasa
Aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushaynah ameeleza kuwa kwa sasa hayupo tayari kuolewa na mwanaume yeyote yule. Rushaynah ameyaeleza hayo baada ya shabiki kumtakia kheri kwenye ...

Latest Post