Ndege kutoka Shirika la #Alaska iliyokuwa ikisafiri kutokea Jimbo la Oregon kuelekea California nchini Marekani, siku ya Ijumaa usiku ililazimika kutua kwa dharura baada ya se...
Wanamuziki kutoka nchini #Nigeria Tiwa Savage na Davido wameacha mashabiki wao katika sintofahamu baada ya wawili hao kufuta urafiki kwenye mtandao wa Instagram huku sababu ya...
Mwalimu wa mazoezi Godfrey Mkinga maarufu (Denzel) amesimulia maisha ya msoto aliyowahi kupitia wakati mwingine hadi kukosa Sh200 ya kula.Ilimchukua zaidi ya miaka 10 kutafuta...
Waruka sarakasi maarufu nchini Ramadhani Brothers ambao wanaipeperusha Bendera ya Tanzania, katika mashindano makubwa ya kusaka vipaji hatimaye wanaingia tena stejini Jumatatu...
Chuo cha École Polytechnique Fédérale de Lausanne, kilichopo Uswizi kivumbua solar Panel za kuangaza zenye muonekano wa kioo.Lengo la kuvumbua aina hii ya...
Katika hali isiyo ya kawaida, watoto wa kike mapacha kutoka nchini Croatia watasherehekea siku ya kuzaliwa kwa tarehe na miaka tofauti baada ya kupishana dakika moja.Mapacha h...
Gari aina ya #Cybertruck la mwanamuziki kutoka nchini Marekani Pharrell Williams lageuka kivutio kwa watembea kwa miguu kufuatiwa na muonekano wake kuwa tofauti.Tukio hilo lim...
‘Klabu’ ya Borussia Dortmund ipo kwenye mchakato ya kuwania saini ya nyota wake wa zamani Jadon Sancho anayeichezea Manchester United.#Sancho (23) amekuwa na wakat...
Instagram ni moja kati ya mitandao ya kijamii maarufu na wenye watumiaji wengi zaidi dunianisiku za nyuma ilikuwa ukirudia kupandisha (ku-post) video mara kadhaa inapoteza ubo...
Wimbo wa mkali wa #Afrobeat kutoka nchini #Nigeria #Davido aliomshirikisha #MusaKeys ‘Unavailable’ unaendelea kuupiga mwingi na sasa umefikia hadhi ya #Silva jijin...
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa watumiaji wengi wa WhatsApp yakihusisha akaunti zao za mtandao huo kufungiwa bila ya wao kujua chanzo. @mwananchiscoop tunakujuza sababu zita...
Mwanamuziki wa hip-hop Nay Wa Mitego amewataka vijana ambao bado wako kitaani kuacha kutamani maisha ya Ma-star.Nay ameyasema hayo kupitia Instastory yake kwa kuwashauri vijan...
Mbwa mmoja kutoka Pennsylvania aitwaye Cecil, amezua gumzo baada ya kutafuna bahasha iliyokuwa na hela $4,000 ambazo mmiliki wake alikuwa ameziweka kwa ajili ya kumlipa mkanda...