15
Mchoro wa bei ghali, Uliuzwa zaidi ya 116 bilioni
Mchoro huu ulichorwa mwaka 1954 na mchoraji kutoka nchini Marekani aliyeitwa #MarkRothko, ukauzwa mwaka 2015 kwa Dola 46.5 milioni ambazo ni zaidi ya tsh 116 bilioni. Mchoraji...
15
Mama akimsimulia mwanaye mwenye ulemevu wa macho mechi inavyoenda
Unakumbuka hii mwaka 2019 mama mmoja aitwaye Silvia Grecco kutoka nchini Brazil alijizolea umaarufu baada kamera kumnasa akimsimuli mwanaye mwenye ulemavu wa macho mechi iliyo...
14
Ifahamu kazi ya uwazi uliyopo kwenye mfuniko wa peni
Wapo baadhi ya watu ambao wakati wa kutumia peni hupendelea iwe  na kifuniko  chake, huku sababu kubwa ya kutaka kiwepo wanadai peni inakuwa nzito hivyo inawapa urah...
14
Sancho aonesha makali yake Dortmund
Baada ya kuwa na wakati mgumu katika maisha yake ya ‘soka’ aliyekuwa winga wa #ManchesterUnited #JadonSancho ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo #BorussiaDortmund a...
14
Diddy kutoshiriki tuzo za Grammy 2024
Rapper kutoka nchini Marekani #PDiddy ameripotiwa kuwa hatoshiriki katika Tuzo za Grammy mwaka 2024 kufuatia na kesi nyingi zinazo mkabili licha ya kuteuliwa kuwania Tuzo kati...
14
Momoa afunguka kutokuwa na makazi maalum
Muigizaji maarufu kutoka nchini Marekani #JasonMomoa amefunguka hali yake ya maisha kutokuwa na makazi maalum huku akidai kuwa hajali kabisa kukosa nyumba ya kuishi. Muigizaji...
14
Anayedai mchepuko wa beki wa Man City ajitokeza na mtoto
Anayedaiwa kuwa mchepuko wa mchezaji wa #MchesterCity, #KyleWalker, amejitokeza akiwa na mtoto anayedaiwa kuwa ni wa Walker, baada ya mke wa beki huyo #AnnieKilner kutangaza k...
14
Wachezaji wapigwa na radi, Mechi yaghairishwa
‘Mechi’ kati ya ‘timu’ ya vijana wanawake #InyemeraWFC na #RamburaWFC nchini Rwanda imeghairishwa baada ya radi kupiga katika uwanja wa Gicumbi na kusa...
13
Ikibidi Harmonize ashushe pini kila wiki
Hii nimeisikia kwa watu kadhaa kitaani. Kwamba Konde anatoa 'traki' mfululizo. Eti hii inaweza kufanya akachokwa fasta kama ilivyotokea kwa Aslay. Tukiacha hizi hisia ziendele...
13
Rayvanny awatolea povu wanaodai anapita na upepo
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na mwanamuziki wa #Bongofleva #Rayvanny kwenda na upepo wa kufanya ‘kolabo’ na wasanii wanao-hit, #Van...
13
Albamu noma kwa Tyla
Mwanamuziki kutoka nchini Africa Kusini Tyla ambaye anaendelea kuupiga mwingi kupitia wimbo wake wa ‘water’ ametaja wasanii na album zinazo muhamasisha zaidi ikiwe...
13
Aucho aiombea Taifa Stars
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Uganda na ‘klabu’ ya Yanga Khalid Aucho ameitakia kila la kheri ‘Taifa stars’ katika michuano ya AFCON 2023,...
13
Meli kubwa zaidi duniani imewasili Miami
Meli kubwa zaidi Duniani inayoitwa ‘Royal Caribbean’s Icon of the Seas’ tayari imewasili jijini Miami nchini Marekani ikitokea Finland ambapo ndipo ilipoteng...
13
Davido kukiwasha Grammy
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria anatarajiwa kutumbuiza katika sherehe za kuelekea Tuzo za Grammy, inayotarajiwa kufanyika Februari 2, nchini #Marekani.Huku wasanii wengine ...

Latest Post