16
Kupiga picha wahanga wa ajali faini milioni 100
Nchini Dubai ukipiga picha watu waliojeruhiwa au miili ya watu waliofariki katika ajali ni kosa linaloweza kusababisha kifungo cha miezi sita jela na faini ya tsh 100 milioni,...
16
Meek Mill: Wafungwa wanafanya kazi nyingi lakini wanalipwa kidogo
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #MeekMill amefunguka kuwa kazi za wafungwa wakiwa gerezani huwa ni nyingi sana kuliko malipo wanayopata nchini humo. ‘Rapa’ huyo...
16
Rick Ross akabidhiwa funguo ya jiji la Miami
Meya wa jiji la Miami Francis Suarez na Mbunge Frederica Wilson kutoka nchini Marekani siku ya Jana, Januari 15 wamemkabidhi ‘Rapa’ Rick Ross ufunguo wa jiji la Mi...
16
Messi mchezaji bora wa FIFA 2023
Baada ya kuwa mchezaji aliyetafuta zaidi kupitia mitandao ya kijamii katika nchi mbalimbali kwa mwaka 2023 na sasa mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Argentina na &lsq...
16
Jose Mourinho atimuliwa kisa matokeo mabaya
‘Klabu’ ya #ASRoma wamemfuta kazi aliyekuwa ‘kocha’ wa ‘timu’ hiyo #JoseMourinho, baada ya kufungwa bao 3-1 na ‘klabu’ ya ...
16
Baba yake Drake aruhusiwa kurudi Canada
Baba wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Drake, #DennisGraham,ameruhusiwa kurudi nchini Canada baada ya kumaliza adhabu yake. Kupitia #Instastory ya ‘rapa’ huyo...
15
Jesus Moloko hana chake Yanga
‘Klabu’ ya #Yanga imefikia makubaliano ya pande zote mbili kusitisha mkataba na mchezaji #JesusMoloko raia wa #Congo. Kupitia ukurasa wa #Instagam Yanga imeeleza k...
15
Chidi beenz: Nikiongea watu wanasema madawa
Mwanamuziki wa Hip-hop nchini #ChidiBeenz ameonesha kutofurahishwa na watu wanaomtafsiri vibaya kuwa kila anapoongea wanadhani ni madawa ya kulevya, ndiyo yanafanya aongee huk...
15
Jinsi ya kupika bagia za dengu
Niaje niaje, wiki ya kuchakarika ndiyo imeanza, huku hatujamaliza ada huku kodi, kule bill zingine, unalipaje mahitaji yote hayo, jibu ni kujishughulisha, na kama kawaida yetu...
15
Mambo ya kuzingatia unapotaka kuweka dreadlocks
Hellow!! vipenzi vyangu kama kawaida yangu lazima tukutane kwenye segment yetu pendwa ya Fashion ili kujuzana mambo mbalimbali kuhusu urembo na style tofauti tofauti za ndani ...
15
Bado hujachelewa anza mwaka na mambo haya
Kama ulivyo msemo wa vijana wengi mtaani kuwa mwaka mpya na mambo mapya, kama mnavyojua wiki hii na wiki inayofuata ndizo wiki ambazo watu wanarejea makazini huku wengine waki...
15
Mitandao ya kijamii ilivyogeuka mtaji kwa watu maarufu
Achana na wale ‘wanaofeki’ wenye kutumia pesa nyingi kwa ajili ya kununua ‘maroboti’ kwenye mitandao ya kuuzia muziki ili kazi zao zionekane zimepata w...
15
Kodak akiwa gerezani atuma zawadi kwa mpenzi wake
Licha ya kuwa gerezani ‘rapa’ kutoka nchini #Marekani, #KodakBlack amemfanyia surprise mama watoto wake kwa kutuma zawadi ya gari aina ya Range Rover na kiasi cha ...
15
Atembea kilomita 450 kwa miguu baada ya kugombana na mkewe
Mwanaume mmoja kutoka nchini Italy amewashangaza wengi baada ya kutembea kwa miguu maili 280 (450km) kutoka mji wa Como hadi mji wa Fano, ambao ni sawa na umbali wa Dar es Sal...

Latest Post