Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #UsherRaymond ameamua kuacha matumizi ya Pombe na vinywaji vyenye sukari kwa ajili ya kujiandaa na onesho la ‘Super Bowl Halftime&rsqu...
Kama tunavyojua kumekuwa na malalamiko mengi kuhusiana na baadhi wa watu kulalamikia akaunti zao za WhatsApp kufungiwa mara kwa mara bila ya sababu yoyote sasa @Mwananchiscoop...
Lulu Lotus mzaliwa wa Mississauga nchini Canada ambaye anashikiria rekodi ya kuwa binadamu anayeweza kutumia pua kupiga miluzi inaoendana na sauti za nyimbo mbalimbali, anaend...
Mkongwe wa soka nchini Ujerumani Franz Beckenbauer mwenye umri wa miaka 78 anayetambulika kama moja ya wachezaji bora kuwahi kutokea nchini humo, amefariki dunia.
Franz aliwah...
Mtangazaji wa CNN aitwaye #SaraSidner ameweka wazi kuwa anasumbuliwa na saratani ya matiti wakati akiwa live kwenye kipindi cha asubuhi.
#Sara amefichua ugonjwa huo kwa lengo ...
Mke wa muigizaji kutoka nchini Marekani #JasonMomoa, #LisaBonet ameomba talaka baada ya miaka miwili ya kutangaza kuachana.
Katika miaka miwili hiyo tangu watengane bila...
Mchekeshaji Coy Mzungu ameonesha kukerwa na kauli ya mwanamuziki wa Hip-hop Wakazi iliyodai kuwa wachekeshaji wa Bongo hawajui kuchekesha.
Kutokana na kauli hiyo Coy amejibu k...
Mwanamuziki kutoka nchini #Canada #TheWeeknd atangaza kutoa albumu yake mpya hivi karibuni ingawa bado hajaweka wazi jina la albumu hiyo.
The Weeknd amethibi...
Duniani kuna aina nyingi za mbwa, lakini licha ya kuwa na aina hizo wanyama hawa huzoeleka kwa kuwa na mtindo wa kufanana kwenye kubweka.
Mfanano huo wa sauti za kubweka unaji...
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #PSG, #KylianMbappe inadaiwa kuwa amefikia makubaliano na ‘klabu’ ya #RealMadrid kujiunga bila malipo msimu ujao.
Inaelezwa kuwa...
Baada ya kukaa kimya kwa takribani miaka mitatu bila kuachia wimbo, mwanamuziki kutoka nchini Marekani #ArianaGrande ametangaza kuja na ngoma mpya iitwayo ‘Yes Or?&rsquo...
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Qchief ameweka wazi kuwa mwaka huu hataki tena kuwa na tofauti na msanii mwenzake #TID.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa wamekuwa h...
Nchini Austria katika mji wa Vienna kuna mgahawa uitwao ‘Der Wiener Deewan’ ambao unatoa ofa kwa walaji wa chakula cha jioni 'diner' kulipa vile ambavyo wao wanaon...
Bondia Hassan Mwakinyo Januari 27 atapambana ulingoni kuwania ubingwa wa WBO Afrika ambapo atapambana na bondia tofauti na yule aliyetangazwa awali Erick Msambudzi kutoka Zimb...