02
Mikataba ya siri, Chanzo kesi za unyanyasaji wa kingono kuibuka
Kumekuwa na wimbi la kufufuka kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono walizowahi kufanyiwa baadhi ya wanawake na mastaa wakubwa duniani, kama zilivyoibuka tuhuma kwa P Diddy, R K...
02
Makabila awatolea povu wanaooa mke zaidi ya mmoja
Mwanamuziki wa singeli nchini Dulla Makabila awatolea povu wanaume wanaooa wake wengi kwa kigezo cha kukimbilia dini. Makabila kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share ujum...
02
Afariki kwa kula uyoga ulioota nyuma ya nyumba yake
Mwanamume mmoja aliyefahamika kwa jina la William Hickman mwenye umri wa miaka 55 anadaiwa kufariki baada ya kula uyoga wenye sumu uliokuwa umeota nyuma ya nyumba yake katika ...
02
Messi akistaafu hatoruhusiwa mchezaji mwingine kuvaa jezi namba 10
Chama cha Soka cha Argentina (AFA) kimepanga kustaafisha 'jezi' namba 10 ya Lionel Messi ambayo awali ilikuwa ikivaliwa na Diego Maradona. Mipango ya kuistaafisha 'jezi' hiyo ...
02
Vanessa aelezea hali ya Mimimars
Kutokana na taarifa zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na hali ya kiafya ya msanii #MimiMars, baada ya kudaiwa kupata ajali, Vanessa Mdee ambaye ni dada yake a...
31
Ten Hag ajitetea kisa majeruhi
Baada ya kufungwa na ‘klabu’ #NottinghamForest mabao 2-1, ‘kocha’ wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, Erik Ten Hag, amejitetea kwa kusema kina...
31
Panya avamia uwanja wa Man City
Kwenye mchezo kati ya ‘klabu’ ya #ManchesterCity na ‘klabu’ ya #Sheffield jana Jumamosi, panya mmoja aliingia uwanjani (eneo la kuchezea) na kusimamish...
31
Kipre kinara mchezaji bora wa mwezi
Kiungo mshambuliaji wa  ‘klabu’ ya #AzamFC, #KipreJunior, amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Desemba katika ‘Ligi’ Kuu ya #NBC msimu wa 2023...
31
Marioo atoa onyo kwa wanaomsumbua Paula
Mwanamuziki wa #BongoFleva, nchini #Marioo ametoa onyo kwa ‘mastaa’ wakiume wanaomsumbua mpenzi wake #PaulaKajala katika mitandao ya kijamii hususani #Instagram. M...
31
Nyota wa The full monty afariki
Aliyekuwa muigizaji kutoka nchini Uingereza Tom Wilkinson amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 75. Taarifa ya kifo chake imetolewa na familia yake ikieleza kuwa nyota huyo w...
30
Filamu ya Barbie yavunja rekodi mwaka 2023
Filamu maarufu ya Barbie iliyoongozwa na Greta Gerwig imevunja rekodi kwenye kuingiza maokoto mwaka 2023 kwa kupata zaidi ya dola 1.4 bilioni kupitia mauzo yake duniani.Barbie...
30
Beyonce na Tylor wavunja rekodi kwenye maokoto 2023
Wanamuziki kutoka nchini Marekani Beyonce na Taylor Swift ndiyo wasanii waliofanikiwa zaidi kwa mwaka 2023 kutokana na ziara zao walizozifanya na kuwapatia maokoto ya maana.Zi...
30
Cardi B atishia kufuta akaunti zake za mitandao ya kijamii
‘Rapa’ Cardi B kutoka nchini marekani ametishia kufuta urafiki na mashabiki wake na kufuta akaunti zake zote za mitandao ya kijamii baada ya mashabiki hao kudai ku...
30
Ngoma 28 zilizomkosha Obama 2023
Ikiwa zimepita siku mbili tangu aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kuachi orodha ya filamu zilizomkosha kwa mwaka 2023, sasa ameshusha mkeka mwingine wa ngoma anazozikuba...

Latest Post