05
Mwanariadha Pistorious kuachiwa huru leo
Ulimwengu wa wapenda michezo baadaye utashuhudia tukio la kuachiwa huru kutoka gerezani mwanariadha wa zamani wa mbio fupi, Oscar Pistorious, raia wa Afrika Kusini.Nyota huyu ...
05
Ronaldo ashinda tuzo mfungaji bora 2023
Nyota wa ‘klabu’ ya Al Nassr FC kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo ameibuka kidedea kwa kushinda Tuzo ya Maradona kutoka Globe Soccer kama mfungaji bora kwa mw...
04
Maajabu ya sharubu za Paka
Moja kati ya wanyama wafugwao majumbani ni paka, huku wengine wakiwatumia kwa ajili ya kumaliza panya na wengine huwafuga kwa kupenda tu. Kati ya vitu ambavyo humpa paka muone...
04
Barabara ya kwanza ya umeme imetengenezwa, Inachaji magari yakitembea
Jiji la Detroit liliopo nchini Marekani limeanzisha barabara ya kwanza ya umeme inayoweza kuchaji magari yanayotumia umeme (EVs) y...
04
Unaijua kazi ya mfuko mdogo kwenye suruali ya Jeans
Suruali ya jeans ni kati ya vazi linalopendwa sana mtaani, lakini kama umewahi kulichunguza vazi hili lazima utakuwa umekutana na kifuko kidogo kilichopo juu ya mfuko mkubwa, ...
04
Hersi akutana na Rais wa PSG
Rais wa ‘klabu’ ya #YangaSC na mwenyekiti wa vilabu Barani Afrika, Eng Hersi Said amekutana na Rais wa ‘klabu’ ya Paris Saint-Germain (PSG) ya #Ufarans...
04
Sadio ajenga uwanja nyumbani kwao
Nyota wa ‘timu’ ya Taifa ya #Senegal, na ‘klabu’ ya #AlNassr #SadioMane, amejenga uwanja wa mpira wa miguu katika kijiji alichozaliwa cha Casamance, Ku...
04
Davido akubaliana na wanaomfananisha na chura
Baada ya mashabiki na wadau wa muziki kupitia mtandao wa kijamii wa X (twitter) kumtania mkali wa #Afrobeat #Davido kuwa anasauti kama ya chura, #Davido ameamua kukubaliana na...
04
Platform akanusha kuwa kwenye mahusiano na Muna Love
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na mwanamuziki wa #Bongofleva #Platform kuwa kwenye mahusiano na mwanadada #Munalove, hatimaye #Platform amekanush...
04
T.I na mkewe washitakiwa kwa unyanyasaji wa kingono
Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani itwaye #JaneDoe amefungua kesi Mahakamani ya kumshitaki rapper T.I na mkewe #Tiny, kwa kumfanyia unyanyasaji wa kingono tukio lililotokea...
04
Mshitakiwa amshambulia jaji, Wakati akisomewa hukumu yake
Mshitakiwa aliyetambulika kwa jina la #DeobraRedden mwenye umri wa miaka 30, amemshambulia Jaji Mary Kay Holthus wakati akisomewa hukumu yake siku ya jana Jumatano. Video zili...
03
Albumu ya Rema yafikia hadhi ya Gold
Albumu ya mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Rema ‘Rave & Roses (ULTRA)’ imefikia hadhi ya GOLD kwenye soko la mauzo ya albumu nchini Marekani, kwa kuuza zaidi...
03
Hawa ndiyo matajiri barani Afrika 2024
Business Insider Africa wametoa orodha ya mabilionea 10 zaidi Afrika mwanzoni mwa mwaka 2024, baada ya hufuatilia mabadiliko ya kila siku katika thamani ya mali za watu wenye ...
03
Kuku mkongwe zaidi dunia amekufa akiwa na miaka 21
Kuku mwenye umri mkubwa zaidi ambaye alikuwa akishikiria rekodi ya dunia ya Guinness amekufa akiwa na umri wa miaka 21 na siku 238. Kwa mujibu wa Guinness imeripoti kuwa imepo...

Latest Post