Mbunifu maarufu kutoka nchini Marekani Imran Potato mwezi Novemba mwaka huu alizindua viatu vyenye muundo wa panya ambavyo vinapatikana kwenye tovuti yake kwa bei ya dola 75K ...
‘Rapa’ na mfanyabiashara kutoka nchini Marekani Kanye West ametangaza kuachia rasmi viatu vyake alivyovipa jila la ‘Yeezy pods’ vyenye thamani ya dola ...
Mwanamuziki kuutoka nchini #Nigeria #NairaMarley kwa mara ya kwanza ame-post kwenye ukurasa wake wa Instagram tangu atoke mikononi mwa polisi.
Naira alikuwa akika...
Baada ya uchunguzi kufanyika kuhusiana na kifo cha shabiki kilichotokea katika show ya mwanamuziki #TaylorSwift nchini #Brazil imebainika kuwa shabiki h...
Kijana mmoja ambaye ni shabiki wa Arsenal ameonekana akimwaga machozi kutokana na ‘klabu’ anayoshabikia kuchapwa na #WesthamUnited bao 2-0, huku ikiwa ni mara ya k...
Muandaaji wa content kupitia mtandao wa YouTube aitwaye Paulo Cezar Goulart Siqueira (PC) kutoka nchini Brazil anadaiwa kuuawa kisha mwili wake kukutwa kwa mpenzi wake wa zama...
Ikiwa zimebaki siku mbili kuumaliza mwaka 2023, dada wa nyota wa muziki Diamond, Esma Platnumz amefunguka na kuweka wazi kuwa mwaka huu umemfanya awe imara zaidi kutokana na y...
Beki wa ‘klabu’ ya Liverpool Virgil Van Dijk amefichua maisha aliyopitia kabla ya kuwa mchezaji mkubwa, amesema kipindi ana miaka 17 aliwahi kufanya kazi ya kuosha...
Baada ya ‘klabu’ ya #NewcastleUnited kupokea kipigo cha bao 3-1 dhidi ya #NottinghamForest, mchezaji wa zamani wa Newcastle #AlanShearer ameishauri ‘klabu&rs...
Kama hujawahi kufikiria kuwa kuna mmea wenye muonekano wa midomo ya binadamu, fahamu kuwa mmea huo upo na unafahamika kwa jina la Hooker na kisayansi unaitwa Psychotria elata....
Wanandoa kutoka nchini Marekani wajulikanao kama John Hennessee, na mkewe Melody Hennessee wanadaiwa kuuza mali zao zote kwa ajili ya kwenda kuishi kwenye meli.
Kwa mujibu wa ...
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #Kendricklamar ameingia kwenye orodha ya ‘mastaa’ waaminifu zaidi kwenye mahusiano baada ya kuwa na mpenzi mmoja tu.
Kend...
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na ‘Rapa’ #CardiB kurudiana na aliyekuwa mumewe #Offset, hatimaye Cardi amekanusha uvumi huo.
#Cardi a...
Mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini Mbongeni Ngema, ambaye ndiye muandishi wa wimbo wa ‘Sarafina’ amefariki katika ajali ya gari Jumatano jioni akiwa na umri w...