23
Cardi B, Offset wafikishwa mahakamani kisa kodi
'Rapa’ kutoka nchini Marekani Offset na mkewe Cardi B wafikishwa mahakamani baada ya kushindwa kulipa kodi katika nyumba waliyokuwa wakiishi mwaka 2022.Kwa mujibu wa Tmz...
23
Suarez kukipiga timu moja na Messi
Mshambuliaji wa zamani wa ‘klabu’ ya Liverpool na Barcelona Luis Suarez amekamilisha usajili wake na ‘timu’ Inter Miami kutoka nchini Marekani.Suarez a...
23
Vibe la Chris Brown na Davido jukwaani
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Chris Brown ameibua shangwe kwa mashabiki baada ya kumpandisha jukwaani mkali wa Afrobeat Davido na ku-perfom ngoma yao ya ‘Sensationa...
22
Yanga yamfukuzisha kazi kocha wa Medeama
Baada ya kupokea kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, uliochezwa Desemba 20, Medeama ya Ghana imemfuta kazi koch...
22
Kinachofanyika kabla, baada ya upasuaji wa maumbile
Miongoni mwa habari zilizotikisa mwaka huu ni kupatikana kwa huduma ya kuongeza matiti, makalio, kupunguza tumbo au nyama kwenye mikono na sehemu nyingine za mwili hapa nchini...
22
Zijue sababu tairi kuwa na vinyweleo, rangi nyeusi
Ukweli ni kwamba si jambo la kawaida kukutana na gari, pikipiki au baiskeli yenye tairi la rangi tofauti na nyeusi, na hata kama kukiwa na rangi tofauti na hiyo basi itawekwa ...
22
Mashabiki wakosoa wimbo wa Wizkid
Mashabiki wa muziki kupitia mtandao wa X wameikosoa ngoma mpya ya mwanamuziki Wizkid iitwayo ‘Energy’ huku wakidai huenda msanii huyo alikuwa akirekodi wakati amel...
22
Hivi ndivyo Tiwa Savage alivyochagua kumaliza mwaka
Kama ilivyo desturi kwa baadhi ya wasanii kujipongeza kwa kujinunulia zawadi mbalimbali mwisho wa mwaka mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage amechagua kuumaliza mwaka...
22
Romy Jons afichua mambo yanayowatesa vijana
Muigizaji na Dj Romy Jons ameeleza kuwa watu wengi hasa vijana wanasumbuliwa na mawazo yaliyopitiliza hofu, na wasiwasi.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Romy amewataka watu k...
22
Vin Diesel atuhumiwa kwa unyanyasaji wa kingono
Muigizaji na producer kutoka nchini #Marekani #VinDiesel anakabiliwa na kesi ya udhalilishaji wa kingono kwa aliyekuwa msaidizi wake aitwaye #Jonasson.Mkali huyo wa 'Fast &...
21
Maokoto yamliza muigizaji taraji
Muigizaji kutoka nchini #Marekani Taraji P. Henson aangua kilio katikati ya mahojiano baada ya kuulizwa kuhusiana na kufikiria kuacha kufanya kazi ya uigizaji na kudai kuwa hu...
21
Aliyepewa pesa na Davido ageuka kituko
Mwanadada kutoka nchini #Nigeria, aliyepewa pesa na mkali wa #Afrobeat #Davido ageuka kituko mitandaoni baada ya kukataa kupeleka pesa hizo benki na kutembea nazo kila sehemu....
21
Chama, Kapama wasimamishwa
Uongozi wa ‘klabu’ ya Simba umewasimamisha kazi wachezaji Nassor Kapama na Clatous Chota Chama kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu. Kupitia ukurasa wa Instagr...
21
Burna Boy aingiza billioni 20 kwenye show 7
Mwanamuziki kutoka Nigeria #BurnaBoy ameripotiwa kuingiza kiasi cha tsh bilioni 20 kwenye show 7 kati ya show 21 alizozifanya katika ziara yake ya ‘Love Damini Tour&rsqu...

Latest Post