Wapenzi wafungia ndoa chooni

Wapenzi wafungia ndoa chooni

Wapenzi kutoka Kentucky nchini Marekani waliotambulika kwa majina Logen Abney na Tiana Ailstock wamebeba vichwa vya habari vingi nchini humo baada ya kufunga ndoa chooni.

Ndoa hiyo inadaiwa kufanyika katika choo cha duka la HOP Shops, sehemu ambayo Tiana anafanyia kazi, alipendekeza wazo hilo kwa mchumba wake Logen ambaye mwanzoni alisita lakini baadaye alimuunga mkono mpenzi wake huyo.

Wawili hao walitengeneza choo hicho kwa kupamba Maputo, taa za club pamoja na muziki.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post