Meek Mill ataka uraia Ghana

Meek Mill ataka uraia Ghana

Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Meek Mill ameweka wazi kuutaka Urai wa Ghana baada ya kuchoshwa na unyanyasaji wa watu weusi nchini Marekani.

Mill ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa X kwa kueleza kuwa anataka Uraia wa Ghana kwani Marekani imetengenezwa kwa ajili ya kuwabomoa wanaume weusi.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post