15
Stevie Wonder sasa ni raia wa Ghana
Mwanamuziki wa Marekani Stevie Wonder sasa ni raia wa Ghana baada ya kula kiapo cha utii na kupokea cheti cha Uraia kutoka kwa Rais wa nchi hiyo Nana Akufo-Addo jana Mei 13, 2...
05
Meek Mill ataka uraia Ghana
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Meek Mill ameweka wazi kuutaka Urai wa Ghana baada ya kuchoshwa na unyanyasaji wa watu weusi nchini Marekani.Mill ameyasema hayo kupitia uk...
17
Tiketi bure, Vaa jezi yenye nembo ya GSM
Meneja Habari na Mawasiliano wa ‘klabu’ ya #Yanga, #AliKamwe amesema Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ amenunua tiketi zote za mzunguko kwenye mechi ya marudi...
29
Wanamuziki wa Nigeria watamba Ghana
Mtandao wa kusikiliza muziki wa ‘Apple Music’ kutoka nchini Ghana umetoa orodha ya ngoma 10 bora ambazo zimesikilizwa zaidi nchini humo kwa mwaka 2023 ambapo ngoma...
08
Wapinzani wa Yanga wamtimua ‘Kocha’
Wapinzani wa Yanga SC hatua ya makundi CAF, CR Belouizdad ya Algeria wamemfukuza kazi  ‘kocha’ mkuu wa ‘timu’ hiyo Sven Vandenbroeck. Taarifa ya &...
27
Burna Boy awashangaza watu katika shindano la kuonja wali
Msanii kutoka nchini Nigeria Burba Boy amewashangaza wengi baada ya kuweza kukisia aina za wali, kutoka mataifa mbalimbali katika challenge ya kutambua aina ya mchele na nchi ...
28
Alikataa kuzaa kisa sikuwa na pesa, Sarkodie
Rapa kutokea Ghana Micheal Owusu Addo maarufu kama Sarkodie amemjibu Muigizaji Yvanne Nelson kupitia Diss Track (nyimbo) aliyoipa jina la “Try Me” baada ya mrembo ...
20
Morisson aomba uraia wa Tanzania
Kiungo wa klabu ya Yanga, Benard Morisson (BM 3) amethibitisha kuwa ametuma maombi kwenda Wizara ya mambo ya ndani ya nchi akiomba kuwa raia wa Tanzania. Kupitia mahojiano ya...
05
Simba yatemana na Okrah
Klabu ya Simba imethibitisha kuachana na aliyekuwa mchezaji wao raia wa Ghana, Augustine Okrah baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu mmoja. Okrah alijiunga na Simba mwezi J...
16
Hajia4Real ashatakiwa kwa mapenzi ya ulaghai
Staa wa muziki kutoka  nchini Ghana Faiz Montrage, maarufu kama Hajia4Real, amerudishwa Marekani na kushtakiwa kwa kashfa ya mapenzi ya ulaghai wa dola milioni mbili. Haj...
14
Mke wa Hakimi aambulia patupu baada ya talaka
Ebanaa wee!! vitabu vya dini vinasema wanaweke ishini nao kwa akili msemo huu una thibiti kwa mke wa Ashraf Hakimi mchezaji wa klabu ya PSG,  aliefahamika kwaji...
26
Wanafunzi 8 wafariki katika ajali ya boti nchini Ghana
Mamlaka nchini Ghana inachunguza hali iliyosababisha kuzama kwa boti iliyouwa watoto nane wa shule kwenye ziwa Volta, katika eneo la kusini mashariki. Mamlaka za eneo hilo zil...

Latest Post