11
Duma afichua siri ya mafanikio yake, sababu majina ya waigizaji kupotea kwenye ramani
Wapenzi wa filamu leo ni siku yenu, kwenye magazine hii tumewaletea mkali wa kuvaa uhusika kwenye upande wa filamu, Daud Michael m...
10
Refa matatani kwa kumchoma kisu mchezaji
Muamuzi wa mpira wa miguu anayefahamika kwa jina la #RemigioArmoa atuhumiwa kumchoma kisu mchezaji wa ‘timu’ ya #Chacarita, #Kevin, baada ya kuzuka vurugu kati ya ...
10
50 Cent mbioni kuandaa filamu kuhusu matukio ya P diddy
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #50cent yupo mbioni kuandaa filamu itakayohusu matukio ya unyanyasaji wa kingono yanayomkabili #PDiddy. 50 Cent amesema kuwa mapato y...
10
Robo fainali ya Simba ipo hapa
Baada ya ‘klabu’ ya Simba kupoteza point mbele ya ‘klabu’ ya #WydadCasablanca jana nchini Morocco kwa bao 1-0, sasa ‘klabu hiyo inahitaji kushind...
10
Mo Salah kwa Afrika amefikisha mabao 150
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #LiverPool, #MoSalah amekuwa mchezaji wa kwanza wa Kiafrika kufikisha mabao 150 katika Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kufunga ‘goli&rs...
09
Gavana aliyeenda kutazama mechi aliyocheza ronaldo atakiwa kujiuzulu
Gavana wa Japan, aitwaye Kengo Oishi ambaye alienda kumuona Cristiano Ronaldo akicheza katika mechi kati ya Al Nassr FC na PSG Jul...
09
Wanaotandika kitanda wanauwezekano mkubwa wa kuwa mamilionea
Utafiti wa hivi karibuni wa mtafiti Randall Bell umegundua kuwa watu wanaotandika vitanda vyao kila asubuhi wakiamka wana uwezekano mkubwa wa kuwa mamilionea.Bell amegundua ku...
09
Wanaotandika kitanda kila siku wanauwezekano mkubwa wa kuwa mamilionea
Utafiti wa hivi karibuni wa mtafiti Randall Bell umegundua kuwa watu wanaotandika vitanda vyao kila asubuhi wakiamka wana uwezekan...
08
Albamu ya Nicki Minaj yageuka wimbo wa taifa
Ikiwa ni masaa matano yamepita tangu rapa kutoka nchini Marekani Nicki Minaj kuachia albumu yake mpya ya ‘Pink Friday 2’ sasa albumu hiyo ina-trend kupitia platfor...
08
Mtangazaji aomba radhi kwa kunyoosha kidole cha kati akiwa live
Mtangazaji wa Shirika la Habari #BBCnews aitwaye Maryam Moshiri ameomba radhi baada ya kuonekana akionesha kidole cha kati wakati akiwa live kwenye Tv, na kupelekea watu kutaf...
08
Afumwa akijaribu kuchoma nyumba aliyozaliwa Martin Luther King
mwanamke mwenye umri wa miaka 26 anashikiliwa na polisi kwa kutaka kuchoma nyumba aliyozaliwa na kukulia Martin Luther King Jr. kwenye barabara ya Auburn, Atlanta. Inaelezwa k...
08
Dj Mosso Misondo ni upepo tu
Kwenye tasnia ya burudani anaye-trend sasa ni DJ Misso Misondo ambaye kwa sasa ‘upepo’ umemgeukia na kila kona unayopita lazima utamsikia,'Umepigaje hapo'. Misso a...
08
Rapa Kodak akamatwa na dawa za kulevya
Mwanamuziki kutoka nchini #Marekani #KodakBlack amekamatwa na Polisi baada ya kukutwa na dawa za kulevya aina ya #Cocaine pamoja na mashtaka mengine zaidi. 'Rapa’ huyu s...
07
Mayele aingia tatu bora ya mchezaji wa mwaka
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, #FistonMayele anayeichezea Pyramids FC ya Misri kwa sasa, ameingia kwenye tatu bora ya mchezaji wa mwaka Afrika. Mayele ameingia katika kip...

Latest Post