16
Beyonce kufanya show Sphere 2024
Mfanyabiashara na mmiliki wa ukumbi maarufu kutoka nchini Marekani wa #Sphere ulioko #LasVegas, #JamesDolan inadaiwa kuwa yupo katika mazungumzo na mwanamuziki #Beyonce kwa le...
16
‘For all the dogs’ yazidi kukimbiza
Album ya mwanamuziki kutoka nchini #Marekani, #Drake ya ‘For All The Dogs’ imefikisha jumla ya #Streams Bilioni 1 kwenye mtandao wa #Spotify ikiwa ni ndani ya mwez...
16
Yanga yapanda viwango, Yashika nafasi ya nne
Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) limetoa takwimu ya viwango vya ‘Klabu’ kwa kipindi cha Novemba Mosi, 2022 hadi Oktoba 31, ...
16
Ahmedi Ally: Tuzo ya mashabiki bora haitakaa ofisi ya Simba
Afisa habari wa ‘Klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly ameeleza kuwa Tuzo ya mashabiki bora wa #AFL haitakaa kwenye ofisi za ‘Klabu’ hiyo bali itakuwa ikitembea...
16
Mkurugenzi wa ‘klabu’ alazimisha kuingia chumba cha VAR
Mkurugenzi wa ‘Klabu’ ya #Corinthians, ya Brazil, #AlessandroNunes, ameonekana kulazimisha kuingia kwenye chumba cha V...
16
Drake na J.cole kama Cr7 & Messi
‘Rapa’ kutoka #Marekani, #Drake na J. Cole wameiga pozi la picha ya wachezaji maarufu duniani #LionelMessi na #CristianoRonaldo iliyo waonesha wakicheza chess. #Dr...
16
Travis Scott kurudi shule
‘Rapa’ kutoka nchini #Marekani #TravisScott ameweka wazi kuwa anataka kurudi shule. Kufuatia mahojiano yake na #GQ, #Travis ameeleza kuwa alitumia njia za mkato ku...
16
Uwoya amkumbuka marehemu mumewe
Muigizaji mkongwe kutoka nchini #IreneUwoya amevunja ukimya na kueleza kuwa jana ilikuwa ni siku ngumu sana katika maisha yake huku aki-posti picha ya marehemu mumewe mchezaji...
16
Arnold Schwarzenegger ashitakiwa kusababisha ajali ya gari
Muigizaji mkongwe kutoka nchini #Marekani Arnold Schwarzenegger anatarajia kufikishwa mahakamani baada ya kusababisha ajali ya gari iliyotokea #LosAngeles Januari mwaka jana. ...
16
Mkubwa Fella atilia mkazo msako wa wasanii mateja
Ikiwa ni siku moja  tangu Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo kuwaonya wasanii wanaotumia na kuhamasisha matumi...
15
Mtendaji mkuu Man United ajiuzulu
Aliye kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #RichardArnold amejiuzulu baada ya miaka 16 ya utumishi wake ‘klabuni’ hapo. Inadaiwa k...
15
Diamond arudia nguo, Alivaa miaka minne iliyopita
Mwanamuziki wa Bongo Fleva kutoka nchini #DiamondPlatnumz ameweka wazi kuwa koti alilolivaa katika wimbo wake ‘Tetema’ ndilo hilo hilo alilolivaa kwenye wimbo wa K...
15
Burna Boy kuwaweka wanablogu kikaangoni
Ikiwa ni wiki chache tangu mkali wa Afrobeat Burna Boy kutaka kuwalipa pesa waandishi wa blog nchini Nigeria ili waache kuandika habari zake, hatimaye mwanamuziki huyo amedai ...
15
Mwanasheria ataja kitakachomkuta mwakinyo, Ampa tahadhari
Wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikielekeza bondia Hassan Mwakinyo kupelekewa wito wa kufika mahakamani kupitia gazeti la Mwananchi kufuatia kesi ya madai inayomkabili, ...

Latest Post