13
Fahamu kuhusu wito
Ni matumaini yangu wazima wa afya kabisa, nafikiri katika pita pita zako umewahi kukutana na neno hili ‘Wito’ huku wengine wakitoa mfano kuwa uwalimu ni wito japo ...
13
Uvaaji wa bangili za culture unavyoongeza mvuto zaidi
Naam!! nikukaribishe tena kwenye magazine yetu ya Mwananchi Scoop katika segment yetu pendwa ya Fashion kama kawaida yetu hapa lazima tuangazie urembo na mitindo mbalimbali. L...
13
Fabregas awa kocha mkuu
Mchezaji wa zamani wa ‘timu’ ya #Arsenal, Barcelona na Chelsea, #CescFabregas ameteuliwa kuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘klabu’ ya #ComoFC inayoshiri...
13
Afunga ndoa na wanawake 30 kwa siku moja
Msanii wa muziki kutoka nchini #Nigeria, #Harrysong, amekuwa gumzo nchini humo baada ya kuvunja rekodi ya historia ya kuoa wanawake 30 ndani ya siku moja. Harry amevunja rekod...
13
Fahamu sababu maandishi ya Ambulance kugeuzwa
Watu wengi wamekuwa wakitamka neno ambulance au kuliona gari hilo la kubebea wagonjwa bila ya kugundua siri iliyopo katika uandishi wa neno ambulance, ambalo huandikwa mbele n...
13
Mwili wa mwanasoka wa Bosnia wapatikana mtoni
Mwili wa mcheza ‘soka’ kutoka nchini #Bosnia, #NedzadMujagic umepatikana kwenye mto baada ya ajali ya gari kuzama mtoni na kusababisha vifo vya watu wawili na kuje...
13
Mashabiki wajeruhiwa uwanjani
Mashabiki 11 wa ‘soka’ wamejeruhiwa baada ya fataki kurushwa wakati wa ‘mechi’ ya #Bundesliga kati ya ‘klabu’ #Augsburg na ‘klabu&rsq...
12
Mamelodi yatwaa ubingwa AFL
Hatimaye ‘klabu’ #MamelodiSundowns imetwaa ubingwa wa kombe la Afrika ‘AFL’ kufuatia ushindi wa jumla wa 3-2 dhidi ya Wydad Casablanca kwenye ‘fa...
12
Kanye West aweka kambi Saudi Arabia
Mwanamuziki kutoka nchini #Marekani, #KanyeWest ameweka makazi ya muda mfupi nchi Saudi Arabia akiandaa kazi zake za muziki. Kanye  ameandaa kambi hiyo maeneo ya jangwani...
12
Mrembo afariki baada ya upasuaji
Mwanamitandao kutoka nchini #Brazil #LuanaAndrede amefariki dunia muda mchache baada ya kufanyiwa Surgery, tukio hilo lilitokea katika Hospitali ya São Luiz huko S&atil...
12
Harmonize ajibebea tuzo tatu Marekani
Msanii wa muziki nchini #Harmonize ameshinda tuzo tatu nchini #Marekani usiku wa kuamkia leo Harmonize ameshinda tuzo hizo za #AEUSA kwenye vipengele vya Artist of the Year 20...
12
Rais Samia atoa ndege kusafirisha kikosi cha Stars
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa ndege itakayotumika kuwasafirisha wachezaji wa ‘timu’ ya Taifa (Taifa Stars) kwenda Nchini Morocco ambapo watacheza na ‘timu&...
12
Mamelod na Wydad kukamilisha AFL leo
Michuano  mipya ya African Football League (AFL) inafikia kilele chake leo Novemba 12, 2023 kwa mchezo wa mkondo wa pili wa ‘fainali’ utakaopigwa katika uwanj...
12
Nabeel afariki, Chino ahamishiwa Muhimbili
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Nabeel ambaye alikuwa dereva kwenye gari lililombeba mwanamuziki na Dancer #ChinoKid pamoja na wenzake, amefariki dunia kufuatia ajali ya ...

Latest Post