18
Davido afichua kilichofanya atoe album ya timeless
Mwanamuziki kutoka Nigeria Davido ameweka wazi kuwa kufanya albumu ya Timeless ilikuwa ni kwa ajili ya uponywaji ndani yake kufuatia kifo cha mtoto wake Ifeanyi kilichotokea m...
18
Nicki Minaj kufanya tour Nigeria
‘Rapa’ kutoka nchini #Marekani Nick Minaj amefikiria kujumuisha nchi ya #Nigeria katika ziara yake ikiwa tuu mashabiki wa nchi hiyo watajisajiri na kununua ‘...
18
Ifahamu kampuni inayotoa huduma ya kuwaliza watu na kuwafuta machozi
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, wakati baadhi ya watu wakilalamikia ukosefu wa ajira fahamu kuwa nchini Japan kuna watu w...
18
Diddy na Cassie wamalizana
Ikiwa imepita siku moja toka mwanamuziki na muigizaji kutoka nchini Marekani #Cassie kumtuhumu mkali wa R&B #Diddy kumfanyia ukatili wa kingono hatimaye wawili hao wamemal...
18
Naira Marley na sam waachiwa, kifo cha Mohbad
Jeshi la polisi Logos nchini Nigeria limewaachia huru mwanamuziki Naira Marley na promoter wa muziki Sam Larry, baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya Naira milioni 20 ambay...
17
Meek mill afata nyayo za Snop, kuipa kisogo sigara
‘Rapa’ #MeekMill ameweka wazi kuwa na yeye atafuata nyayo za msanii #SnopDogg baada ya kutangaza kuacha kuvuta sigara.Ikiwa ni dakika chache tangu msanii #SnopDogg...
17
Aucho afungiwa mechi tatu
Nyota wa Yanga, Khalid Aucho aamefungiwa kutocheza michezo mitatu na faini ya Sh500, 000 (laki tano) katika mchezo dhidi ya Coastal Union Novemba 8 katika Uwanja wa Mkwakwani,...
17
Mbinu ya kuskiliza voice note, bila watu wa pembeni kuskia kitu
Wapo baadhi ya watumiaji wa mtandao wa WhatsApp wamekuwa wakipata shida kusikiliza Voice Note wanazotumiwa wakiwa mbele za watu kwa kuhofia jumbe zao kusikiwa na watu wa pembe...
17
Sigara siyo mchongo tena kwa Snop Dogg
‘Rapa’ mkongwe kutoka nchini #Marekani #SnopDogg ametangaza rasmi kuacha kuvuta sigara.Kupitia ukurasa wa #Instagram wa mkali huyo ameweka wazi suala hilo kwa kuel...
17
Yanga yazidi kupaa afrika, yatinga tano bora tuzo CAF
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na washindi wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita #YangaSC imetinga tano bora kuwania Tuzo ya ‘Klabu’ Bora kwa Wa...
17
Maendeleo ya Mr Ibu baada ya kukatwa mguu
Baada ya familia ya muigizaji kutoka nchini #Nigeria Mr Ibu kukatwa mguu kwa ajili ya kuokoa maisha yake, binti yake anaye fahamika kwa jila la Chioma Jasmine amewatoa hofu ma...
17
Tyla aachia remix ya water
Wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini South Africa, #Tyla wa ‘water’ ambao ulionekana kwenye #Billboard Hot 100 mwezi uliopita, hatimaye umetolewa remix ambayo amemsh...
17
Diddy na tuhuma za ukatili wa kingono
Mwanamuziki na muigizaji maarufu kutoka nchini #Marekani #Cassie amemtuhumu mkali wa Hip-Hop #Diddy kuwa aliwahi kumfanyia ukatili wa kingono kwa zaidi ya miaka 10 walipokuwa ...
16
Aliye kuwa mchezaji wa Barcelona kizimbani kwa unyanyasaji wa kingono
‘Beki’ wa zamani wa ‘Klabu’ ya #Barcelona na ‘timu’ ya Taifa ya #Brazil, #DaniAlves anatarajia...

Latest Post