17
Hizi hapa brand zinazomiliki na Kardashian family
Familia maarufu kutoka nchini Marekani ‘Kardashian Family’ licha ya kupata umaarufu katika ‘Reality show’ yao lakini pia imepata mafanikio makubwa kati...
17
Hizi hapa gari za polisi nchini Dubai
Kanali Mubarak Saeed, Mkuu wa Kitengo cha Doria cha Polisi wa Watalii nchini Dubai, amewakabidhi polisi nchini humo magari yenye kasi zaidi ambayo yatabeba watalii wanaoelekea...
17
Dk. Death azindua mashine ya kutoa uhai kwa wanaotaka kujiua
Shirika la Exit International kutoka nchini Marekani ambalo lipo chini ya Dk. Philip Nitschke, maarufu kama ‘Dr. Death’ limevumbua sanduku maalumu la kujiua liitwa...
17
Utafiti: aliyeishi chini ya maji siku 100 hatozeeka mapema
Alievunja rekodi kwa kukaa chini ya maji kwa muda mrefu Dk. Joseph Dituri anadaiwa kuwa kukaa kwake chini ya maji kumemsababisha kutozeeka mapema.Uchunguzi uliofanywa wakati a...
17
Sexyy Red: nitakuwa nimekosema kumpa Drake jukumu la malezi
Baada ya ‘rapa’ Sexyy Red na mwanamuziki Drake kuonesha ukaribu kwa siku za hivi karibuni mwanadada huyo amewauliza swali mashabiki wake kama ni sawa kumpa jukumu ...
17
Bieber abuni mbinu kupunguza uzito kwenye pochi za wanawake
Mwanamitindo kutoka nchini Marekani Hailey Bieber yuko mbioni kuzindua kava za simu ambazo zitaweza kuwasaidia wanawake wanaopenda kupaka lipstick, kuhifadhi kipodozi hicho ny...
17
Mavoko kwenye kwato za Nature
Namwona Rich Mavoko kwenye kwato za Juma Nature. Siyo kwamba kabadilika kila kitu, hapana ni yuleyule lakini mapokezi ya ngoma zake siyo kama Rich Mavoko wa WCB. Na kitu kimoj...
17
Kuwa Jide au Mona ni ushujaa
Huenda Mungu akawa na wapinzani wengi zaidi, maana kujichubua ni kupinga uumbaji wake, kwamba wameumbwa visivyo! Hii leo siyo wadada tu wanaojichubua. Also men do it, sijui nd...
16
Davido: nafikiri nilikosea kuchagua muziki
Baada ya kufanya show katika Birthday dinner party ya mchezaji Memphis Depay, mkali wa Afrobeat, Davido amedai kuwa anadhani amechaguwa taaluma isiyofaa baada ya kuona maisha ...
16
Chipsi za muundo wa chapa ya Nike zauzwa zaidi ta tsh 4 milioni
Muuzaji wa vyakula katika tovuti ya #eBay, #impala6_9 amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuuza chipsi kwa bei ghali zenye muundo wa logo ya kampuni ya #NIKE. Chi...
16
Miwani kwa Tiwa siyo fashion, ni matatizo
Baada ya baadhi ya mashabiki kudadisi kuhusiana na uvaaji wa miwani kwa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage, hatimaye mwanamuziki huyo ametoa sababu ya kwanini huvaa...
16
Apokea maua ya valentine kutoka kwa marehemu mumewe
Kuna msemo usemao mapenzi ya kweli hayajifichi, msemo huu unajidhihirisha kwa mwanamama Diana Maver, (77) ambaye anaendelea kupokea zawadi za maua katika siku ya Valentine kut...
16
Haller apokelewa kwa shangwe na wachezaji wa Dortmund
Baada ya kukamilisha kibarua cha kuitumikia ‘timu’ yake ya Taifa ya Ivory Coast, katika michuano ya #Afcon2023 mchezaji wa ‘klabu’ ya Borussian Dortmun...
16
Cardi B na Offset waonekanapamoja Valentine day
Licha ya wawili hao kutangaza kuachana Novemba 2023, lakini bado wameendelea kukutana katika baadhi ya matukio muhimu ikiwemo sikukuu ya Krismass, na sasa ‘rapa’ C...

Latest Post