16
Albumu ya Kanye na Dolla yaondolewa Apple music
Albamu ya ‘rapa’ Kanye West na Ty Dolla $ign ‘Vultures 1’ inadaiwa kuondolewa kwenye mtandao wa kuskiliza muziki wa Apple Music na iTunes siku tano baa...
16
Mbappe atangaza kuondoka psg
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Paris Saint-Germain (PSG) Kylian Mbappe ametangaza kuondoka katika ‘timu’ hiyo ifikapo mwezi Julai baada ya mkataba wake kuisha....
15
Petit amkataa Mourinho
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na ‘klabu’ ya #Chelsea kutaka kumsajili ‘kocha’ #JoseMourinho, mchezaji wa zamani wa Chelsea na Arsenal #EmmanuelPetit...
15
Calisah: Siwezi kuwa na mwanamke aliyenizidi kipato
Mwanamitindo kutoka nchini #Calisah amesema kuwa hawezi kuwa na mwanamke aliyemzidi kwa kila kitu hususani katika kipato. Akiwa katika mahojiano na mmoja ya chombo cha habari ...
15
Bobak azindua miwani inayotambua bei ya bidhaa
Aliyekuwa kiongozi wa kampuni ya #Apple, Bobak Tavangar, ambaye kwasasa ni CEO wa Brilliant Labs amezindua miwani inayoweza kutafsiri lugha, kutambua unachokitazama na kukuwez...
15
Wapendanao mwenye tattoo mwili mzima wafunguka
Kuna msemo unasema utampata mweza wa kufanana naye, hivi ndivyo ilivyo kwa wapendanao Nes na Joel ambao walipendana kutokana na wote kupenda kuchora tattoo. Ikiwa jana ni siku...
15
Mo Music: Baba Levo alistahili
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #MoMusic ameeleza kuwa #BabaLevo alistahili kupigwa na #Harmonize, huku akidai kuwa hata angekuwa yeye angefanya hivyo hivyo. Mo ameyasema hayo kup...
15
Usher aposti picha za harusi yake
Baada ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani Usher kudaiwa kufunga ndoa, hatimaye mwanamuziki huyo amelithibitisha hilo kwa ku-posti picha zake za harusi akiwa na mkewe Jennife...
15
Michael Jackson apata wakufanana naye
Kutokana na kuwepo kwa mpango wa kutengenezwa  filamu ya mfalme wa Pop Michael Jackson (MJ) huku akisakwa mtu ambaye atafanana na kuwa na miondoko kama msanii huyo, hatim...
15
Avuruga mipango ya wapendanao siku ya Valentine
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina lake kutoka nchini China amefuvuruga mipango ya wapendanao katika sikukuu ya Valentine, Februari 14, baada ya kuwakataza kuketi pamoja ...
15
Mchezaji wa Urusi kwenda Jela miaka 24
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #SpartakMoscow kutoka nchini Urusi, #QuincyPromes, amehukumiwa kwenda Gerezani miaka 6 baada ya kukutwa na hatia ya uuzaji wa dawa za kulevy...
15
Nini kinaendelea kati ya harmonize, Poshy
Baada ya msanii Harmonize na mpenzi wake Poshy Queen kuonekana wakipata dinner pamoja usiku wa kuamkia leo katika siku ya Wapendanao, wawili hao wamezua sintofahamu kupitia ku...
14
Trela la filamu ya deadpool 3 yavunja rekodi kwa kutazamwa zaidi
Kionjo (Trailer) cha ujio wa filamu mpya ya ‘‘Deadpool and Wolverine 3’ ambayo ilionyeshwa kwa mara ya kwanza Jumapili wakati wa Super Bowl, imevunja rekodi ...
14
Mzize siyo kufunga tu, Hadi kuimba anajua
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #Yanga #ClementMzize ameonesha kuwa siyo kupiga chenga na kufunga tuu bali hadi kuimba yuko vizuri, hii inakuja baada ya kuonekana akiimba w...

Latest Post