23
Ocean builders na mpango kuzindua nyumba juu ya bahari
Watu kuishi katika sehemu za kawaida kama nchikavu, katika misitu na sehemu nyingine ni jambo la kawaida lakini binadamu kuishi katikati ya maji inaweza ikawa inashangaza.Kamp...
23
Messi ndiye mwanasoka anayependwa zaidi Marekani
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Argentina na ‘klabu’ ya Inter Miami Lionel Messi anatajwa kuwa ndiye mwana-soka anayefuatiliwa na kupendwa zaidi nchini ...
23
Rick Ross aweka mpunga mrefu, kurekebisha mjengo wake
Baada ya kununua jumba la kifahari kwa dola 35 milioni kwenye kisiwa cha Star kilichopo Miami nchini Marekani mwaka 2023, ‘rapa’ Rick Ross ameripotiwa kufanya mare...
23
Waziri Nchemba kama Pacome
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba ameachia picha kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa na breach kichwani akijiandaa na ‘Pacome Day’ mchezo unaotarajiwa kuchezwa s...
23
Baada ya miaka 3, Esma afunga ndoa tena
Usiku wa kuamkia leo mfanyabiashara na dada wa mwanamuziki Diamond, Esma Platnumz alifunga ndoa na mpenzi wake Mwanamuziki, na Meneja Jembe One, ndoa iliyofungwa katika msikit...
23
Kayumba apokea mualiko kutoka kwa mwana fa
Baada ya ku-share taarifa kuhusiana na kudai kuwa amedhurumiwa tsh 7 milioni na Rayvanny pamoja na Director Erick Mzava, na sasa mwanamuziki huyo amedai kuwa amepata mualiko k...
22
Kinda Mtanzania ana kwa ana na Arshavin
Kinda wa Tanzania, Harrith Chunga Misonge aliyepo Russia anakoshiriki mashindano ya Games of the Future amekutana na staa wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Russia, Andr...
22
Mashabiki washangazwa na Cr7 kupaka rangi kucha za miguu
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #AlNassr, # Cristiano Ronald amezua mijadara kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuonekana amepaka rangi kucha za miguu, hali iliyopelekea ...
22
Aliyepandikizwa chipu kwenye ubongo aanza kutumia kompyuta
Ukuaji wa teknolojia unazidi kushangaza wengi ambapo kwa sasa binadamu amefanikiwa kupandikizwa chipu kwenye ubongo kwa ajili ya kutumia kompyuta kwa kuwaza tu. Ni siku chache...
22
Mayweather amkumbuka msaidizi wake
Bondia wa zamani na promoter kutoka nchini Marekani #LoydMayweather ameangua kilio baada ya kumkumbuka msaidizi wake wa kazi za nyumbani aliyefariki mwaka jana akiwa na umri w...
22
Dani Alves atupwa jela miaka minne na nusu kwa ubakaji
Nyota wa zamani wa Brazil, Dani Alves amehukumiwa kwenda jela miaka minne na nusu kwa kosa la ubakaji, hukumu hiyo iliyosomwa Leo Februari 22 katika Mahakama iliyopo nchini Hi...
22
Messi akabidhi tuzo ya Ballon D or kwenye makumbusho ya Barcelona
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Argentina Lionel Messi ameonesha kuwa uhusiano wake na ‘klabu’ yake ya zamani ya Barcelona hauwezi kuvunjika, baada ya k...
22
Majeraha ya shaw yawa kikwazo kwa Man United
Manchester United huenda ikamkosa beki wake wa kushoto, Luke Shaw hadi mwisho wa msimu kutokana na majeraha ya misuli. Shaw alipata majeraha hayo kwenye ‘mechi’ dh...
22
Mtoto wa Kanye aingia kwenye chati za Billiboard 100
Mtoto wa ‘rapa’ Kanye West, North West amefanikiwa kuingia kwa mara ya kwanza kwenye chati za Billboard 100, kufuatiwa na ngoma aliyoshirikishwa na Baba yake ya &l...

Latest Post