28
Diamond awaburuza Davido, Asake na Burna Boy
Nyota wa muziki wa Bongo Fleva Diamondplatnumz amekuwa msanii wa kwanza Afrika mwenye ngozi nyeusi kufikisha wafuasi milioni 8.66 kapitia mtandao wa YouTube.Mafanikio hayo yan...
28
Adidas mbioni kuzindua viatu vya Bob Marley
Kampuni maarufu inayojihusisha na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali ya Adidas iko mbioni kuzindua toleo maalumu la viatu vya marehemu mkali wa reggae kutoka Jamaica Bob Marley...
27
Usher ataka kuwa sehemu ya Afrobeat
Mkali wa R&B kutoka nchini Marekani, Usher ameweka wazi kuwa anataka kuwa sehemu ya muziki wa Afrobeat.  Hii inakuja baada ya kuvutiwa na uimbaji wa wasanii kutoka nc...
27
Bruce Africa aeleza Master J alivyomliza
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Bruce amesema wakati yupo BSS, alikuwa anaumizwa na majibu ya Master J, lakini hadi sasa wapo sawa kwani anaamini alikuwa anamjenga na si vinginevyo...
27
Atumia ndege kama usafiri wa kwenda chuo
Mwanafunzi mmoja , aitwaye Tim Chen anayechukua course ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha British Columbia (UBC) kilichopo nchini Canada amekuwa akitumia usafiri wa ndege kwenda ...
27
Afunga ndoa na mdoli
Mwanadada mmoja kutoka nchini Marekani aitwaye Felicity (24) anadaiwa kufunga ndoa na #mdoli aina ya #zombie aitwaye #Robert wiki moja iliyopita katika siku ya Wapendanao Febr...
27
Kwa mara ya kwanza Beyonce, namba moja Billboard hot 100
Wimbo unaoendelea kuupiga mwingi katika platiforms mbalimbali wa mwanamuziki Beyonce, ‘Texasholdem’ umeshika namba moja katika chati za Billboard 100 kwa mara ya k...
27
Drake ataka Tory aachiwe huru
Mwanamuziki kutoka nchini Canada #Drake ameonesha ‘sapoti’ yake kwa ‘rapa’ Tory Lanez akitaka aachiwe huru kutoka jela.Kupitia ukurasa wake wa Instagra...
27
Diddy kwenye tuhuma nyingine, unyanyasaji wa kingono
Mwanamuziki wa hip-hop Diddy kutoka nchini Marekani, kwa mara nyingine tena ameingia kwenye tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia.Awamu hii Diddy ametuhumiwa kumfanyia unyanyasaji...
26
Ndaro ataka kuwa kama Mwamposa, atoboa siri njia atazotumia
  Ukurasa wake mpya wa maisha ya umaarufu ulianzia baada ya kusimamia kipajike cha uchekeshaji, baada ya kuachana na kazi ya uwalimu aliyokuwa akiifanya mwanzo. Huyu si m...
26
Marioo kachagua kusimama na Paula katika vita zote
Na Peter AkaroMapema wiki hii ugomvi kati ya Abigail Chams na Paula iliibuka tena, baada ya ukimya wa muda, kitendo cha Marioo kuingilia kati na kumtetea binti huyo wa P-Funk ...
26
Kiongozi wa kundi la Morgan Heritage, Peetah afariki dunia
Mwanamuziki Peter Morgan maarufu kama Peetah, ambaye ni kiongozi wa kundi la Morgan Heritage la nchini Jamaica amefariki dunia siku ya jana Feb 25.Taarifa ya kifo chake imetol...
25
Yanga waweka wazi hali ya Ali Kamwe
'Klabu’ ya #Yanga imetoa taarifa kuwa Afisa Habari wa ‘timu’ hiyo #AliKamwe anaendelea vizuri kwa sasa, baada ya kupata matatizo ya kiafya dakika chache kabl...
25
Diamonds: Zuchu anafanya wanawake wote niwaone kama dada zangu
Mwanamuziki wa #BongoFleva nchini #DiamondPlatnumz amekiri mbele ya mashabiki kuwa #Zuchu ndiye mwanamke anayesababisha wanawake wengine awaone kama dada zake.Diamond ameyasem...

Latest Post